Kitambazi Abdul
Member
- Aug 8, 2017
- 72
- 84
Habari wanajukwaa, Naomba Kusaidiwa Bei ya Pikipiki aina ya BOXER au TVS kwa Bei ya dukani hasa kwa Agents wao.
Nilitaka kuingia Kariakoo nikaambiwa huwa Wanachakachua Engine nikinunua itanisumbua ni bora Niende kwa Agents...
Ushauri na Maelezo Tafadhali naomba msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kuingia Kariakoo nikaambiwa huwa Wanachakachua Engine nikinunua itanisumbua ni bora Niende kwa Agents...
Ushauri na Maelezo Tafadhali naomba msaada.
Sent using Jamii Forums mobile app