CLES B
JF-Expert Member
- Jul 7, 2013
- 731
- 455
Kama utakuwa na nguvu Kidogo ya kuongeza hapo 3m nakushauri chukua Toyota Rush.iko juu tofauti na ist pia ina engine ndogo endapo suala liko kwenye matumizi ya Mafuta..engine yake ni 1490 cc.Ist kama unapita barabara za kizalendo mara kwa mara jiaandae kung'ata meno kila Mara ingawa kwa barabara ya lami bado ni gari ambayo utaifurahia ...jaribu kuangalia na Rush pia uone.Nina 15 Millions za kitanzania ninahitaji hii gari kwani nimeambiwa kuwa ni economy na spea zake hupatikana kirahisi sana
Nisaidieni jamani wanajf nisije juta baade View attachment 471092
Nahitaji ushauri wako je hii gari ipoje? Kabla ya kuinunua. Niambie sifa zake