kidambinya
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 1,190
- 1,729
Nininahitaji hii gari kwani nimeambiwa kuwa ni economy na spea zake hupatikana kirahisi sana, kwa kifupi management sio mbaya wanavyodai.
Nisaidieni jamani wanajf nisije juta baade
Nahitaji ushauri wako je hii gari ipoje? Kabla ya kuinunua. Niambie sifa zake
Nisaidieni jamani wanajf nisije juta baade
Nahitaji ushauri wako je hii gari ipoje? Kabla ya kuinunua. Niambie sifa zake