Nahitaji kumuoa ila nime disco chuo

Nahitaji kumuoa ila nime disco chuo

jojoe35

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2014
Posts
262
Reaction score
379
Salaam wakuu

Mie jinsia ni ME, Nimedumu na mpnz wangu ss mwaka wa tatu, tuliahidiana mwaka juz tulipokua tunaenda vyuoni kwamba tukimalza tutaoana

Yeye kwa sasa kaajiliwa bt mm nimedisco, ila bado cjamwambia ukweli wa matokeo yangu,

uyu mchumba wangu anaharaka sn yakuolewa coz anasumbuliwa sn kazin kwake coz nimzuri anamsimamo na niwife material nzuri sn, kavumilia huu ss mwaka wa tatu anahitaji mm ndo niwe mme wake wa maisha, na kusema kweli ANANIPENDA

Ndan ya miaka mi3 yote cjawai kutana na material ilioendana namm karbia kila kitu kama uyu dada, na sitak kumpoteza coz naic nikimuacha sitaoa tena bt bint anataka kuolewa ndan ya mwaka huu au ujao cz anasumbuliwa sn

Sikupanga kuoa kabla cjajiimarisha kiuchumi japo nyumban uchumi ukovizuri2 nimepanga mwakani ni apply upya chuo,Wakuu naombeni ushauri, sitaki kumpoteza uyu bint nampenda vilivo, nifanyeje????
 
Kwahiyo dawa ya kusumbiliwa ni ndoa???
wanawake tuna mbinu, ccm cha mtoto
namie nisumbueni jamani, nisumbueni please....nakaribisha usumbufu

Hapana anapata vishawishi sn nakukatishwa tamaa na wenzake kuusu mapnz ya mbali coz yuko mkoa tofaut namm, so anahic anaweza muacha wakat wowte akaaibika kwa msimamo wake kwangu
 
Salaam wakuu

Mie jinsia ni ME, Nimedumu na mpnz wangu ss mwaka wa tatu, tuliahidiana mwaka juz tulipokua tunaenda vyuoni kwamba tukimalza tutaoana

Yeye kwa sasa kaajiliwa bt mm nimedisco, ila bado cjamwambia ukweli wa matokeo yangu,

uyu mchumba wangu anaharaka sn yakuolewa coz anasumbuliwa sn kazin kwake coz nimzuri anamsimamo na niwife material nzuri sn, kavumilia huu ss mwaka wa tatu anahitaji mm ndo niwe mme wake wa maisha, na kusema kweli ANANIPENDA

Ndan ya miaka mi3 yote cjawai kutana na material ilioendana namm karbia kila kitu kama uyu dada, na sitak kumpoteza coz naic nikimuacha sitaoa tena bt bint anataka kuolewa ndan ya mwaka huu au ujao cz anasumbuliwa sn

Sikupanga kuoa kabla cjajiimarisha kiuchumi japo nyumban uchumi ukovizuri2 nimepanga mwakani ni apply upya chuo,Wakuu naombeni ushauri, sitaki kumpoteza uyu bint nampenda vilivo, nifanyeje????



Maelezo yako yana changanya.

'' Ni mzuri anamsimamo na ana hitaji mimi ndio niwe mme wake wa maisha "..........sasa hapa shida ikowapi? Mwambie aendeleze msimamo mpaka utapo kuwa tayari.

" nahisi Nikimpoteza sita oa tena" ....seriously!!! Hapa mi naona either kuna kautoto au uchizi wa mapenzi unakusumbua.


"Sikupanga kuoa kabla cjajiimarisha kiuchumi japo nyumban uchumi ukovizuri2 nimepanga mwakani ni apply upya chuo"..... Hapa naiona hadithi ya sizitaki mbichi hizi. Kipi unataka ndugu? Kusoma kwanza au urithi wa nyumbani ukaoe???
 
Salaam wakuu

Mie jinsia ni ME, Nimedumu na mpnz wangu ss mwaka wa tatu, tuliahidianaj mwaka juz tulipokua tunaenda vyuoni kwamba tukimalza tutaoana

Yeye kwa sasa kaajiliwa bt mm nimedisco, ila bado cjamwambia ukweli wa matokeo yangu,

uyu mchumba wangu anaharaka sn yakuolewa coz anasumbuliwa sn kazin kwake coz nimzuri anamsimamo na niwife material nzuri sn, kavumilia huu ss mwaka wa tatu anahitaji mm ndo niwe mme wake wa maisha, na kusema kweli ANANIPENDA

Ndan ya miaka mi3 yote cjawai kutana na material ilioendana namm karbia kila kitu kama uyu dada, na sitak kumpoteza coz naic nikimuacha sitaoa tena bt bint anataka kuolewa ndan ya mwaka huu au ujao cz anasumbuliwa sn

Sikupanga kuoa kabla cjajiimarisha kiuchumi japo nyumban uchumi ukovizuri2 nimepanga mwakani ni apply upya chuo,Wakuu naombeni ushauri, sitaki kumpoteza uyu bint nampenda vilivo, nifanyeje????

Nipe namba yake nikusaidie kumwambia na kumshauri ipasavyo na agundue kuwa kufeli cyo mwisho wa mafanikio.... Name soon utakuja kutoa mrejesho chanya
 
uyu mchumba wangu anaharaka sn yakuolewa coz anasumbuliwa sn kazin kwake coz nimzuri anamsimamo na niwife material nzuri sn...

bint anataka kuolewa ndan ya mwaka huu au ujao cz anasumbuliwa sn

Mbona ushatueleza kuwa ana msimamo, wasiwasi wako wa nini?

Huyo binti ana umri gani?

Maana wasichana wakishaanza kutongozwa tongozwa tu hapo ndipo viherehere vya ndoa huwaanza...
 
Hayo maandishi yako tu ni kioja, ndio maana ulidsco.
 
Hapana anapata vishawishi sn nakukatishwa tamaa na wenzake kuusu mapnz ya mbali coz yuko mkoa tofaut namm, so anahic anaweza muacha wakat wowte akaaibika kwa msimamo wake kwangu

Oa kwa kua upo tayari na unampenda pia
hiyo sababu ya kuoa kumuepushia vishawishi unajitafutia magonjwa ya moyo mapemaaa
kabla hata hujawa na mapengo mdomoni
 
Kwahiyo dawa ya kusumbiliwa ni ndoa???
wanawake tuna mbinu, ccm cha mtoto
namie nisumbueni jamani, nisumbueni please....nakaribisha usumbufu

Hahahaaaaaaa
...umenichekesha sana mkuu, eti unataka usumbufu???😀😀
 
Back
Top Bottom