Nahitaji kumuoa ila nime disco chuo

Nahitaji kumuoa ila nime disco chuo

Umedisco chuo kwa uzembe ama uwezo mdogo class?? Kama ni kwa uwezo mdogo class mueleze maana atakuwa anafaham IQ yako, ila kama ni kwa uzembe achana nae maana kwa huu uzembe utaishia kudisco kwny ndoa yenu.
NB. Ndoa ni mtihani pia

Kwaiyo tulio disco tusioe?????
 
Hapana anapata vishawishi sn nakukatishwa tamaa na wenzake kuusu mapnz ya mbali coz yuko mkoa tofaut namm, so anahic anaweza muacha wakat wowte akaaibika kwa msimamo wake kwangu

..no wonder umedisco;hayo mawazo ya huyo mwanamke ndio yamechangia 80% ww kufeli, achana nae tafuta elimu kwanza, wanawake wapo wengi wazuri kila siku utaona wa leo zaidi ya wa jana..
 
..no wonder umedisco;hayo mawazo ya huyo mwanamke ndio yamechangia 80% ww kufeli, achana nae tafuta elimu kwanza, wanawake wapo wengi wazuri kila siku utaona wa leo zaidi ya wa jana..

Mradi hujavunja cyber crime asante kwa maoni
 
hizi relationships goals zinapofail mambo kama haya hutokea unajikuta njia panda..wee rud shule usome...kama ipo ipoo..jiamin mwanaume...wanawake wanazaliwa wazur kila siku...mueleze ukweli akizingua tupia plan b acha kulia lia kwenye hamna....
 
una kadi ya ccm?

umekaa kiccm sana,sina cha kukushauri
 
Uta oaje mschana anakazi naww hunakazi mkuu?

hakika elimu yetu haijengi vijana wetu,we kudisco unaona ndo mwisho? changamsha ubongo,kamata fursa twenzetu acha ubishoo na kutokujiamin
 
yaani wanaume wa siku hizi ubongo wao kama thamani ya shilingi yetu.
nlitegemea ushamwambia umedisco akasema hakutaki ndo uje uombe ushauri pengine angekubali., unavyoomba ushauri na muhusika haujamwambia hupati suluhisho make sure hii weekend anafahamu hilo
 
Sikupanga kuoa kabla cjajiimarisha kiuchumi japo nyumban uchumi ukovizuri2 nimepanga mwakani ni apply upya chuo,Wakuu naombeni ushauri, sitaki kumpoteza uyu bint nampenda vilivo, nifanyeje????

Pressure ya kuingia ndoani ipo, ila haitakiwi kucompromise upendo kati yenu. Na pia kama hamuwezi kuelezana mambo makubwa kama hayo mnaoana ili iweje?

The story will be good if; Kwa kuwa mapenzi ni kuelewana na kusaidiana. Mwenzio kashapata kazi. Mueleze hali yako halisi na mipango yako. Familia yako inaweza kukuboost kidogo na yeye akaongeza nguvu mkapata sehemu ya kuanzia maisha. Muoane, we uende shule yeye kazini. Maisha hayako staight, hata kama ungepata kazi nzuri kiasi gani, ungeweza kuja kupoteza kila kitu na mkaanza upya. Hali yenu ndo perfect test ya stability ya ndoa yenu (If there is going to be).
Sioni sababu ya wewe kwenda shule kwanza kwa sababu hata kama ukienda uchumi unaweza kuja kuzingua pia.

Pia ukishikilia msimamo wako unaweza kukosa mke
 
Back
Top Bottom