Uta oaje mschana anakazi naww hunakazi mkuu?
Ushadisco tena katika mapenzi. Kama utakavyoapply chuo mwakani anza kuapply mpenzi mpya tena.
Huyo bint mpe dedication ya wimbo wa Kassim Mganga feat Christian Bella, Subira.
"Wasikitika usijevunja shingo hiyo mama
Na unavyosononeka usije ita mapaka.......to the end"
Unanionaje kwa mfano????
Mifano tu au mifano hai
Acha kubabaishwa na uzuri wa mwanamke. Wewe unafikiri uzuri wake unaliwa? Kwa taarifa yako ukishamuoa huyo dada kesho yake utakutana na kifaa kipya uzuri wa mkeo unaingia mara hamsini. Achana naye huyo kwanza ameshazeeka. Utaoaje mzee bwana? Wanawake unaokutana nao shuleni ama vyuoni hao achana nao maana ni sawa na mama zako wadogo. Ukiwa chuoni mkeo ndio kwanza yuko form one. Upo?
Mkubwa wewe tafuta chako kwanza wanawake huwa hawatabiriki mi nimeishaingizwa town mara kibao afadhali wewe mmeishi naye miaka mitatu wengine mpaka tumezaa nao lakini anavyogeuka huwezi amini
teh teh teh
asijeitaka harusi kwa pupa
asijeitaka harusi akarudi na talaka...asikimbilie mume ataukondesha moyo