Nahitaji kujua nini ili niwe Hacker?

kuna process tano. 1.footprinting au inaitwa social engineering. 2. inaitwa Scanning. 3. vulneri.bility 4. penetration 5. Hacking. hizi mbili za mwisho, siyo ethical.
 
Ok fungua shule tujifunze jinsi ya kujilinda na maharamia wa mitandao
 
Soma vipo vitabu acha uvivu
 
kuna process tano. 1.footprinting au inaitwa social engineering. 2. inaitwa Scanning. 3. vulneri.bility 4. penetration 5. Hacking. hizi mbili za mwisho, siyo ethical.
Aisee!!!kumbe hizi ndo process tano!ebwana eeh!Mkuu ndo unajipanga kufundisha kabisa!???Aiseee!kwaio hizi mbili 'Penetration na Hacking' ndo sio ethical sio!aisee!nilikua sijui kabisaa yani kuhusu hizi process,na sidhani hata kama kuna mtu yeyote kwenye community nzima anajua hili!Naomba niishie hapa tu aisee!Kila la heri mkuu katika ufundishaji wako.
 
Nauliza tu.., hacker ni kwa watu wa IT tu au?

Na je kwa umri flani tu?

Na je naweza mwajiri hacker kama security experts kwenye code zangu?
 
Nauliza tu.., hacker ni kwa watu wa IT tu au?

Na je kwa umri flani tu?

Na je naweza mwajiri hacker kama security experts kwenye code zangu?

Hapana hata mtu wa la saba anaweza kuwa hacker..
Umri wowote
Security expert lazima asome ethical hacking ..inampa tu urahis wa kuwa competent hacker lakin sio kila hacker mzur alisoma system security
Hacker ni penetration taster,just imagine software kama ukuta wa matofari...kazi ya hacker ni kutafuta ufa kwenye ukuta ili aone upande wa Pili wa ukuta..yawezekana lengo lake la kutafuta ufa ni ili amsaidie mjenzi(programmer/developer) kujua wapi kuna ufa ili arekebishe huyu ndio Ethical hacker
au lengo lake laweza kuwa ni kutafuta ufa ili akiupata aongeze uwe hole apenye huyu ni Black Hat hacker
ikitokea haoni ufa atausababisha kwa makusudi huyu ni Cracker
 
Nauliza tu.., hacker ni kwa watu wa IT tu au?

Na je kwa umri flani tu?

Na je naweza mwajiri hacker kama security experts kwenye code zangu?
Najibu tu..,Hacking si kwa watu wa IT tu but ni lazima uwe na some IT knowledge ili ujue kuhack!(assuming swali lako limelenga watu ambao hawapo related na Tech field)

Umri wowote ule,minimum requirement ni uwe unafikiria Logically!

Hacker ni security expert!either awe na nia mbaya au nzuri au awe mbomoaji au mjengaji.Hacker aliyepewa authority anaitwa 'white/ethical hacker/pen-tester ',kwaio jibu ni NDIO,unaweza muajiri Penetration tester/Ethical Hacker/White Hacker (Unaweza kumpa kibarua Gray pia kwa makubaliano husika)
 
Daaah.... napenda sana mambo ya IT....hi mivitu ya programming....wanaandika vitu hata havisomeki ila vina fanya kazi, hasa nikionaga kwa movie huwa roho yangu kwatu, Sitaki mtu aseme nikasome mambo ya excel na word hapa. Nahitaji kujifunza nami....πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™
 
Duh haya bwana naona nmekukaa sana kichwani, all in all jamani watu mnaotaka kuwa hackers a.ka. wadukuaji, it is illegal kufanya hivi vitendo na wala siwapotoshi maana sheria za cyber crime zipo mwaweza kuzipitia
Duh, yaani umekaa ukawaza kuwa hacking ni illegal!? Au umekaririshwa kuwa hacking ni illegal!? Pole sana mkuu
 
Kuna hatua tano za hacking
1.Reconnaissance
2.Scanning and Enumeration
3.Gaining Access
4.Maintaining Access
5. Covering tracks (Hiding digital Footprints)
From EC-Council, official course ya CEH blueprint.
1.Ni stage gani ambazo White Hat Hacker hafundishwi kati ya hizo??
2. Huoni Black Hats watakuwa na advantage over you (White Hat), kama unapewa knowledge nusu nusu??
Mtazamo wangu "If you want to be the best white hat think like a black hat".
 
A hat is a hat don't forget, ONLY BLACK is not a Chamelion.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…