Nahitaji kujua mshahara wa mtu aliyesomea meteorological

Nahitaji kujua mshahara wa mtu aliyesomea meteorological

Una zngua bro huyo harmorapa ana toka wap bro kama huna jbu kaa kmnya
 
Mfano kwa walio ajiriwa malaka ya hali ya hewa
Mamlaka ya Hali ya Hewa wana utaratibu wao wa kuajiri kwa nafasi za chini,
kwanza wanatangaza nafasi za ajira ambapo wanadahili idadi ya watu wanaowahitaji kisha wanapelekwa chuo chao kupata mafunzo watakao faulu (mara nyingi ni wote) wanaajiriwa moja kwa moja na ni kwa ngazi ya Cheti, mshahara wake huwa 650k.. lkn kigezo kikuu ni lazima uwe umesoma PCM na kupata angalau ufaulu wa wastani.
 
nimekuuliza hiyo diploma yako umeipata wapi kwa sababu hakuna chuo kinachotoa Diploma ya Meteorology hapa Tanzania.
 
Me nme soma PCM na nme faulu vzr2 xo diploma ni kwamba wana lipa zaid ya hyo 650k
 
nimekuuliza hiyo diploma yako umeipata wapi kwa sababu hakuna chuo kinachotoa Diploma ya Meteorology hapa Tanzania.
Sio kua nina diploma apana nataka niombe hyo course so ndo mana nataka niijue vzri ad mshahara wake ila kigoma kipo chuo wana toa diploma
 
Sio kua nina diploma apana nataka niombe hyo course so ndo mana nataka niijue vzri ad mshahara wake ila kigoma kipo chuo wana toa diploma
ooh basi watakuwa wamekiUpgrade chuo chao, manake ndo hicho chuo cha TMA, lakini zamani walikuwa wanatumia mtindo huo wa kutangaza ajira,.
lkn kwa ufupi TMA wana mishahara mizuri japo marupurupu ni nadra sana..
 
Back
Top Bottom