Nahitaji kujua mshahara wa mtu aliyesomea meteorological

Nahitaji kujua mshahara wa mtu aliyesomea meteorological

Me nme soma PCM na nme faulu vzr2 xo diploma ni kwamba wana lipa zaid ya hyo 650k

Waliofaulu vizuri huwa hawaendi diploma

Nenda kasome kijana pia acha kuandika kama watu wa Facebook xaxa xo etc
 
Waliofaulu vizuri huwa hawaendi diploma

Nenda kasome kijana pia acha kuandika kama watu wa Facebook xaxa xo etc
Nko chuo sasa ivi nasoma BSC education namalza mwezi wa 7 so nataka nika some hiyo course ualimu naona watu wana kaa sana mtaani
 
Nko chuo sasa ivi nasoma BSC education namalza mwezi wa 7 so nataka nika some hiyo course ualimu naona watu wana kaa sana mtaani
Kama ulisoma PCM walimu hao ni dili saiv ayo masomo ya sayanc walimu mashulen wachache labda kama umeenda kusoma ualimu wa Arts utasugua bench mpk 2020 akija lahisi mpya
 
Mamlaka ya Hali ya Hewa wana utaratibu wao wa kuajiri kwa nafasi za chini,
kwanza wanatangaza nafasi za ajira ambapo wanadahili idadi ya watu wanaowahitaji kisha wanapelekwa chuo chao kupata mafunzo watakao faulu (mara nyingi ni wote) wanaajiriwa moja kwa moja na ni kwa ngazi ya Cheti, mshahara wake huwa 650k.. lkn kigezo kikuu ni lazima uwe umesoma PCM na kupata angalau ufaulu wa wastani.
uko gud mzee hivi na mwenye bsc meteorology pale TMA anaanza na ngap
 
Back
Top Bottom