Nahitaji kujiendeleza kielimu (diploma) via Open university

Nahitaji kujiendeleza kielimu (diploma) via Open university

UBILUKO

Member
Joined
Sep 30, 2018
Posts
94
Reaction score
192
Maisha haya tunapambana kadri tuwezavyo lakini katika kupambana huko tunajikuta ndo tunaanguka zaidi

Lengo la huu Uzi ni kutaka kusaidiwa shirika/NGO's/ mtu binafsi anayeweza nisaidia kulipa ada nimalizie masomo yangu

Kwa ambaye anajua au yupo katika hio organization anisaidie wakuu
 
Back
Top Bottom