Nahitaji kufahamu huyu dogo ni mtu wa aina gani

Huyo dogo ana tabia kama zangu kabisa ila anyways huwa kuna mambo mengi sana tunayabeba moyoni ila tumetofautiana hapo kwenye kuwa wa mwisho darasani aise, sijawahi. Mwisho ni kwamba utafanya namna zote ila hauji kumfahamu kiundani hata kidogo.
Anaogopesha, ana tabia za ajabu, akisema sitaki vibomu ni hataki kweli, na hakwepeshi.
 
Kama ni Me mletee house girl mchangamfu hapo nyumbani, hilo linapiga nyeto, wapiga nyeto wanaongoza sana kwa utulivu, wakikaa unaweza dhani wanaweza kuja kutawala hii nchi, kumbe linawaza kopo la mafuta!!
Hapigi nyeto, ana gf wake, ila ana misimamo mikali na sheria ngumu sana. Hata gf wake anavumilia sana kwa sababu dogo ni mafia na mtata sana kwa misimamo na itikadi zake
 
Hapigi nyeto, ana gf wake, ila ana misimamo mikali na sheria ngumu sana. Hata gf wake anavumilia sana kwa sababu dogo ni mafia na mtata sana kwa misimamo na itikadi zake
Huo umafia anafanyia wapi tumpigie kamanda siro.Ni utoto tu maisha yatampiga tukio akili itakaa sawa.
 
Salaam! Kuna ile hali huwa inamtokea mdogo wangu, kuna watu ambao mara nyingi humtabiria mema kama vile kuja kuwa kiongozi mkubwa n.k

Mfano mara nyingi hukutana na hizi kauli "ahsante sana utakuja kufanikiwa", " wewe ni mkombozi", "wewe ni kiongozi" n.k

Kauli hizi huambiwa hata na watu ambao hawajawahi kukutana hata siku moja. Pia huyu dogo ana sifa fulani za tofauti na ana tabia fulani za ajabu ajabu, mfano ulaji wake ni wa kushangaza, hali chakula kutoka nje ya kwetu.

Pia shuleni aliwahi kuwa wa mwisho kisa alikataa possible ya mtihani uliovuja, yaani ni kama hajali, na hayupo serious hivi. Kikubwa kilichonileta hapa ni kuwa ana tabia za kujitenga sana japo ana heshima. Jamani naombeni ufumbuzi wa kumfahamu huyu dogo.

Wataalamu nawasilisha!
Anajitambua, siku hizi majitu majinga yamejaa kila kona, majiti ambayo muda wote yanazungumzia mpira ( sasa hivi ni Manara kuhamia yanga), mavijana mengi pia yanazungumzia kuhusu cerebrities.

Yaani kama hapa, wakati tunadadavua habari inayotrend mjini kuhusu yule jamaa mwenye bunduki na tukio linalohisiwa kuwa la kigaidi, katika watu wanane tuliopo hapa kila mtu isipokuwa mimi anazungumzia na kusikiliza simu zenye video za watu wanaozungumzia issue ya Haji Manara, natamani niwahame hapa.
Pumbavu zenu
 
Salaam! Kuna ile hali huwa inamtokea mdogo wangu, kuna watu ambao mara nyingi humtabiria mema kama vile kuja kuwa kiongozi mkubwa n.k

Mfano mara nyingi hukutana na hizi kauli "ahsante sana utakuja kufanikiwa", " wewe ni mkombozi", "wewe ni kiongozi" n.k

Kauli hizi huambiwa hata na watu ambao hawajawahi kukutana hata siku moja. Pia huyu dogo ana sifa fulani za tofauti na ana tabia fulani za ajabu ajabu, mfano ulaji wake ni wa kushangaza, hali chakula kutoka nje ya kwetu.

Pia shuleni aliwahi kuwa wa mwisho kisa alikataa possible ya mtihani uliovuja, yaani ni kama hajali, na hayupo serious hivi. Kikubwa kilichonileta hapa ni kuwa ana tabia za kujitenga sana japo ana heshima. Jamani naombeni ufumbuzi wa kumfahamu huyu dogo.

Wataalamu nawasilisha!
KWANZA.

Hakuna correlation kati ya kukosa possibke na kufeli maana kama angelikuwa amesoma angeweza kufaulu vizuri au kupata ufaulu wa asilimia angalau si chini ya 75(inaweza kuwa juu au chini pia).

PILI.

Kama ana tabia ya kujitenga kuna mawaili hapo

1.Inaweza kuwa tabia yake tu anapenda kujiweka mwenyewe hii watu wengi wanayo ni kawaida.

2.Inaweza kuwa ana stress pia au anajilaumu sana na kujiona hana thamani (anataka attention).
 
Salaam! Kuna ile hali huwa inamtokea mdogo wangu, kuna watu ambao mara nyingi humtabiria mema kama vile kuja kuwa kiongozi mkubwa n.k

Mfano mara nyingi hukutana na hizi kauli "ahsante sana utakuja kufanikiwa", " wewe ni mkombozi", "wewe ni kiongozi" n.k

Kauli hizi huambiwa hata na watu ambao hawajawahi kukutana hata siku moja. Pia huyu dogo ana sifa fulani za tofauti na ana tabia fulani za ajabu ajabu, mfano ulaji wake ni wa kushangaza, hali chakula kutoka nje ya kwetu.

Pia shuleni aliwahi kuwa wa mwisho kisa alikataa possible ya mtihani uliovuja, yaani ni kama hajali, na hayupo serious hivi. Kikubwa kilichonileta hapa ni kuwa ana tabia za kujitenga sana japo ana heshima. Jamani naombeni ufumbuzi wa kumfahamu huyu dogo.

Wataalamu nawasilisha!
Kama tokea zamani alikua na tabia hizo basi sio tatizo hilo ni tabia tu kuna watu wanatabia hizo.

Kama kipindi cha utotoni alikua mchangamfu anaongea mambo hayaendani na umri wake, afu mwoga sana kwenye matukio ya kutisha basi huyo ndio hawa tunaowaita ma introvert.

Sasa kumjua mtu kama huyu ni ngumu labda mzazi wake ambaye karithi tabia kutoka kwake(kwahiyo anajua kua hii hi copy yangu).

Mtu mwingine tu kumsoma ni shuhuli maana mara nyingi muonekano wao na vitu anavyowaza ni mambo mawili tofauti! (Body language haiendani na dhamira ya anachokizungumza(hapa utakuta mtu anachekesha, watu waliomzunguka hawana mbavu ila yeye hacheki au anatabasamu kwa mbali ila kiuhalisia nafsini mwake amefurahi vibaya mno na anavyohisi yeye kafurahi kama watu wengine).

Hata kwenye salamu unasalimiana na mshikaji kwa bashasha kama zote yani ila muitikio wake unakua wakinyonge tabasamu kwa mbaali! hapo moja kwa moja unaweza kuona mshikaji anadharau kumbe wala, ila nae nafsini alikua na vibe kama lote na nidhamu ya kutosha ila hata yeye hajui kua muonekano wake kipindi mnasalimiana haukuendana na bashasha zile.

Kwahiyo watu wa namna hii kiujumla kwa nje wanaoneka ni kauzu,wanadharau, waajiskia sana, ila ukimpa kazi au maelekeza ya kufanya utagundua mambo ni tofauti kazi inapigwa kwa nidhamu (kazi sahihi mahali sahihi na wakati sahihi (hakuna polojo)). Hapa ndio unakuta mtu nanamtukuza kwa kua hakutarajia kabisa.

Swala la unafiki... kujipendekeza kwa mtu kwa lengo fulani,uongo/polojo kwao ni kichefuchefu, kama unasikiaga masikini jeuri ndio hawa.

Kama unataka kujua upande wa pili wa huyo dogo nenda shule anayosoma hasa dalasani kwao ulizia hivi huyu akoje? Utatajiwa sifa nyingine ambazo zitakuacha mdomo wazi.
 
Hakuna kiongozi hapo wala sjui jiniaz....ana tatizo la akili..nashauri mpeleken kilinik ya akili afanyiwe uchunguzi mapema.
 
Anapiga sana nyeto ndio maana anapenda kukaa peke yake, sie wengine tulionekanaga maintrovert kumbe nyeto baada ya kupata madem now ni ma extrovert ajabu
 
Salaam! Kuna ile hali huwa inamtokea mdogo wangu, kuna watu ambao mara nyingi humtabiria mema kama vile kuja kuwa kiongozi mkubwa n.k

Mfano mara nyingi hukutana na hizi kauli "ahsante sana utakuja kufanikiwa", " wewe ni mkombozi", "wewe ni kiongozi" n.k

Kauli hizi huambiwa hata na watu ambao hawajawahi kukutana hata siku moja. Pia huyu dogo ana sifa fulani za tofauti na ana tabia fulani za ajabu ajabu, mfano ulaji wake ni wa kushangaza, hali chakula kutoka nje ya kwetu.

Pia shuleni aliwahi kuwa wa mwisho kisa alikataa possible ya mtihani uliovuja, yaani ni kama hajali, na hayupo serious hivi. Kikubwa kilichonileta hapa ni kuwa ana tabia za kujitenga sana japo ana heshima. Jamani naombeni ufumbuzi wa kumfahamu huyu dogo.

Wataalamu nawasilisha!
Kama dogo anaitwa Hamza, chondechonde mwekeni mbali na silaha...

Atatumalizia polisi wetu...
 
Vipi hana tabia za kudhuru wengine au kujidhuru anapopata hasira, je kuna kitu anachopendelea kufanya mara nyingi akiwa peke yake (kitu gani kama kipo?), mbali na kufeli darasani hakuna jambo lolote au somo ambalo analiweza kupita kiasi?
 
Back
Top Bottom