Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,301
- 5,408
NdiyoNa wewe ulishapitia hiyo hali?
NdiyoNa wewe ulishapitia hiyo hali?
HowAta sie tulikuwa hivyohivyo pia ila maisha ni mwalimu,its matter of time
Shukrani kwa mchango wako!Hakuna kiongozi hapo wala sjui jiniaz....ana tatizo la akili..nashauri mpeleken kilinik ya akili afanyiwe uchunguzi mapema.
Hiyo ni kwako, yeye hapigi ana gf wake kabisa, ila toka utoto yupo hivyo.Anapiga sana nyeto ndio maana anapenda kukaa peke yake, sie wengine tulionekanaga maintrovert kumbe nyeto baada ya kupata madem now ni ma extrovert ajabu
Toka utotoni yupo hivyo.huyo ni nyeto hakuna kingine kuwa makini usikute anapiga mpka bao 3 kwa siku
Hapana hana tabia hizo, anapenda amani na anaweza kukusamehe kwa urahisi hata kama umemtukania mama yake mzaziVipi hana tabia za kudhuru wengine au kujidhuru anapopata hasira, je kuna kitu anachopendelea kufanya mara nyingi akiwa peke yake (kitu gani kama kipo?), mbali na kufeli darasani hakuna jambo lolote au somo ambalo analiweza kupita kiasi?
Bila shaka anaongea kutokana na uzoefuNa wewe ulishapitia hiyo hali?
kbsaaaKuna nyuzi inabidi usome kisha usikomenti!
Acha ukuda😁Kama ni Me mletee house girl mchangamfu hapo nyumbani, hilo linapiga nyeto, wapiga nyeto wanaongoza sana kwa utulivu, wakikaa unaweza dhani wanaweza kuja kutawala hii nchi, kumbe linawaza kopo la mafuta!!