mahadhialy
Member
- Oct 19, 2019
- 45
- 24
Habari zenu ndugu zangu wanaJF
Nina idea ya biashara ya usafirishaji mizigo, sasa naomba mnijuze kuhusu hii biashara.
1>Je, gharama ya uendeshaji ikoje?
2>Je, vipi biashara hii hapa tz?
3>Je, vipi kuhusu faida kwenye biashara hii?
4>Je, vipi kuhusu kipindi hiki cha korona?
Naomba mnijuze kuhusu hili
Nina idea ya biashara ya usafirishaji mizigo, sasa naomba mnijuze kuhusu hii biashara.
1>Je, gharama ya uendeshaji ikoje?
2>Je, vipi biashara hii hapa tz?
3>Je, vipi kuhusu faida kwenye biashara hii?
4>Je, vipi kuhusu kipindi hiki cha korona?
Naomba mnijuze kuhusu hili