Tafadhali naomba mnieleweshe hasa nyie wanaume atii inakuwaje unakuta mdada mzuri sana tuu wanamsifia kila mtu ,uko bomba,umetulia, oooh u look smart halafu ukimuuliza huyo dada unaboyfriend atakuambia sina na kwanini atakuambia hawanifati,sasa hapo nyi mnaelewa jee?
Na huyo binti utakuta ni mzurii,tabia nzuri,charming anaelimu yake vilevile dharau hana.Jamani nyie wanaume tuwaelewejee?
Na huyo binti utakuta ni mzurii,tabia nzuri,charming anaelimu yake vilevile dharau hana.Jamani nyie wanaume tuwaelewejee?