Mimi nimechimba kisima Dodoma.. Nimezunguka makampuni mengi ofa ya chini kabisa niliyopata kuchimba na kuinstall PVC screen na plain casing ni 160,000 kwa mita.. na dodoma sehemu nyingi ni lazima ufike at least mita 100.. Na usijidanganye ukaja dodoma na mad rota( machine zinazochimba mwamba laini kama Dar na sehemu nyingi za pwani).. na usidanganywe uweke casing ya chini ya inch 6..
Binafsi kuchimba kutengneza water tower kuinstal matanks na pump pamoja na jenereta imefika 26M na hapo sijaweka miundo mbinu ya umwagiliaji.. NI PM kama unataka maelekezo zaidi