Nahitaji kuchimbiwa kisima

Mkuu wewe ni driller bhana maana umeongea kitaalam sana coz mimi ni mtaalam wa mambo hizo na Dom nimechimba visima vingi kwa kampuni ya serikali wakala wa visima na mabwawa kifupi Dom nimeivuruga
 
Mimi nimechimba hombolo meta 130 nimelipia 12m kuchimba na mabomba tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…