Nahitaji kuacha kunywa pombe

ICD 10 ina ongelea alcohol dependency, ni tatizo kubwa ila sasa kuingia kwenye sonono ndio kitu kikubwa sana.

Tafuta AA ya karibu ita saidia
 
mm nliamua tu nliamka na hangova moja iyo ya kvant na hansonchoic ilntesa mpaka mchana nkaenda shop nkanunua hanson mbil moja nikainywa kwa shida sana nlvyomlza ile ya pl skuifungua nkaanza kurud hom uku najiulza faida za mateso haya nkaipga chin ile mpya nkasema kwanzia leo snyw tena pombe nashukuru Mungu ile apetite ya pombe imekata kabsaaa
 
Easy tu mkuu, siku ukilewa alaf majamaa wakakubeba wakaenda kukupelekea moto nakuhakikishaia hauwezi kunywa pombe tena. Jaribu hii njia
 
Asante sana nilikuwa nasubiri majibu kama yako, ubarikiwe sana
 
Kwani we ni mnywaji au mlevi? Tuanzie hapo
 
pombe imeniludisha nyuma sana tena sana,achana nayo nina mwaka na nusu sijagusa nahisi naelekea kuweza kuiacha lakn pia nilitumia dawa za kienyeji na nilidhamiria kuacha kabisa.
Hizo dawa ulipataje mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…