Nahitaji kitanda used cha mbao (5×6) au dressing table

Nahitaji kitanda used cha mbao (5×6) au dressing table

Posho City

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
648
Reaction score
418
Wadau nina shilingi laki moja na ninahitaji kitanda cha mbao size hiyo juu..kwa bei hiyo najua kitakuwa used maana kipya sitapata..
Lakini pia nahitaji dressing table kwa maana kuwa kitakachotangulia kipatikana basi kingine sinunui..
Nipo mkoa wa Pwani...Kibaha Picha ya ndege..mawasiliano njoo pm
 
Angalia usije amishia na kunguni wa watu nyumban kwako, jichange upate kitanda kipya bhabha
 
Hivi kumbe kuna vitanda vya mbao vya laki? Nakumbuka mimi mwaka 2013 nilinunua kitanda cha mbao Tshs 810000....Duh mpaka laki?
 
Wadau nina shilingi laki moja na ninahitaji kitanda cha mbao size hiyo juu..kwa bei hiyo najua kitakuwa used maana kipya sitapata..
Lakini pia nahitaji dressing table kwa maana kuwa kitakachotangulia kipatikana basi kingine sinunui..
Nipo mkoa wa Pwani...Kibaha Picha ya ndege..mawasiliano njoo pm
Nichek by 0717 550291
 
Back
Top Bottom