Nahitaji kijifunza film making

Zacht

JF-Expert Member
Jul 17, 2020
1,009
2,197
Poleni na majukumu wakuu na habari zenu

Kabla kusomea course ambayo nimesoma saiz nilitamani Sana kuwa director wa movie kitu ambacho kipo moyoni.

Kilochoshindikana Mimi kusoma ni ndugu zangu wakanisema Sana kwamba unasoma vitu havina maana inatakiwa nisome kitu ambacho kipo sokoni, sikuwa na jinsi zaidi kukubali maana wao ndio watoa ada.

Sasa nimepata wazo la kujifunza hii taaluma hata kama sitaweza kutimiza kutimiza ndoto ya kuwa director lkn at least niwe na idea nayo maana hii Dunia inabidi uwe na fani zaidi ya moja.

Kuna software inaitwa blender hii imenivutia Sana natamani niijue,pia kucheza na green screen na VFX Sasa wakuu naomba mnipe A,B,C zake nianze wapi.

Asante
 
Poleni na majukumu wakuu na habari zenu

Kabla kusomea course ambayo nimesoma saiz nilitamani Sana kuwa director wa movie kitu ambacho kipo moyoni.

Kilochoshindikana Mimi kusoma ni ndugu zangu wakanisema Sana kwamba unasoma vitu havina maana inatakiwa nisome kitu ambacho kipo sokoni, sikuwa na jinsi zaidi kukubali maana wao ndio watoa ada.

Sasa nimepata wazo la kujifunza hii taaluma hata kama sitaweza kutimiza kutimiza ndoto ya kuwa director lkn at least niwe na idea nayo maana hii Dunia inabidi uwe na fani zaidi ya moja.

Kuna software inaitwa blender hii imenivutia Sana natamani niijue,pia kucheza na green screen na VFX Sasa wakuu naomba mnipe A,B,C zake nianze wapi.

Asante
Movie Director huna haja ya kujua Blender wala VFX
Hayo ni majukumu ya Animators na Editors

Pia sidhani kama unaweza fika mbali kwa mindset hio
Yaani unashidwa kufata kile unachokipenda kwa sababu Kaka yake shangazi yako, upande wa baba atachukia

Kazi ya director ni kuongoza Movie, focus hapo
Na directors wengi pia ni script writers kama kina Christopher Nolan au David Cameron

Jifunze basics za Scripting writing kwanza.

Blender utaishia kui install tu,
Ni moja kati ya open source software zenye worst UX
 
Movie Director huna haja ya kujua Blender wala VFX
Hayo ni majukumu ya Animators na Editors

Pia sidhani kama unaweza fika mbali kwa mindset hio
Yaani unashidwa kufata kile unachokipenda kwa sababu Kaka yake shangazi yako, upande wa baba atachukia

Kazi ya director ni kuongoza Movie, focus hapo
Na directors wengi pia ni script writers kama kina Christopher Nolan au David Cameron

Jifunze basics za Scripting writing kwanza.

Blender utaishia kui install tu,
Ni moja kati ya open source software zenye worst UX
mkuu Nimemaanisha nataka kuwa director na editor

Na Kwa wakati hule sikuwa na namna kwasababu nilikuwa chini yao na ukizingatia wawo ndio walikuwa walipa hio ada ,sikuwa na nguvu ya kuamua Jambo wala hakuna aliyekubaliana na Mimi .

Saiz hakuna mtu anaenipangia cha kufanya kati yao kwasababu nafanya kwa gharama yangu na sipo tena chini yao

Lkn pia sijutii hii kozi niliyosomea ni nzuri nilikuja kupenda nilivyoanza kuisoma ,tena hii kozi ndio imefufua hii ndoto yangu kwasababu mm nimesomea gemology Sasa Kuna Kuna wakati tulifanya jewelry desgn Sasa ile software tuliyoitumia inakaribia kufanana na hii blender
nikapata moyo kuwa haita kuwa changamoto kubwa kuitumia hio blender

Hii ni software tuliyokuwa tunatumia
images(2).jpg

images(3).jpg


Na hii ni blender
images(4).jpg
 
Zacht

Hapa chini ni USHAURI WA BURE...

Good Directors are also Good Scriptwriters!!

Kama unataka kuwa Director Bora, basi kuwa kwanza Mwandishi Bora wa Script!!

Ukishakuwa Mwandishi Bora, utakuwa na uwezo mkubwa wa kuandika Production Script Bora itakayokuwezesha kuondoa na kuongeza baadhi ya mambo kutoka kwenye original script!!

Usipokuwa Mwandishi Bora wa Script, unaweza kuishia ku-direct everything written in a script with addition of nothing, ingawaje Scriptwriters wa Bongo huwa wana-mind sana "scripts zao" kufanyiwa mabadiliko (labda wawe wamebadilika hivi sasa)!

Na asikuambie mtu, creativity ya mwanzo kabisa kwenye filamu inaanzia kwenye script!!

Ukishakuwa na script mbovu, hata kama wewe ni Director #1 kwa ubora duniani, na Casts wako ni A-List Actors kutoka Hollywood, yote hayo hayatakusaidia, na mwishowe utaishia ku-direct filamu ambayo mwisho itakuwa ya hovyo kama ilivyo script yenyewe!!!

You'll translate/transform everything from a script kwa ubora wa juu kabisa lakini hiyo haitafanya filamu iwe ya kuvutia kwa watazamaji!!

Sasa ukizingatia hayo mawili hapo juu, utaona ni namna kama ukitaka kuwa Director Bora, basi pia jitahidi kuwa Mwandishi Bora kwa sababu, hapo utakuwa na uwezo wa kuifumua script mbovu yenye brilliant idea na kuifanya kuwa bora kabla hamjaenda location!!

Anyway, labda kama unataka kwenda Hollywood ambako script mbovu zinafanyiwa re-write lakini hata huko ubora wako kwenye uandishi ni mtaji mkubwa sana kwenye directing!!

ANZA SASA KUJIFUNZA KUANDIKA SCRIPT, coz' all you need is your laptop and screenwriting software! Uliza chochote kuhusu uandishi wa script (but, for Industrial Standard).
 
Hongera sana kwa kufuata passion yako. Na maelezo yako nimeyaelewa coz na mimi ni mswahili, nayajua mazingira ya familia zetu za kiswahili.
Sasa basi, hapa JamiiForums ni mahala sahihi kupata maarifa.
Sasa basi, hapa jamii forums siyo mahala sahihi pa kupata maarifa.
Najua nimekuchanganya kidogo au sana. Usahihi wa hili jukwaa unategemea mind set yako. Kuna watu watakuvunja moyo na kukubeza. Kuna watu watakutia moyo na kukupa mwangaza wa filim directing. Kuna wengine watakutoa kabisa kwenye mada na kujadili mambo mengine kabisa. All in all tulia kuwa positive, usi-panic, ndiyo dunia and thi is Jf.
Filim directing ni nini???.....ni art of story telling, sanaa ya kuhadithia hadithi kwa kutumia picha zinazotembea. Ukiwa na story yako, kuna vifaa vitakusaidia kutengeneza pucha zinazotembea. Vifaa ni kama kamera, watu, mwangaza, mazingira, sauti, softwares, etc, etc, kadiri ya creativity au imagination zako. Hizo zote ni tools zitakazokusaidia kuhadithia story yako kadiri ya ubunifu wako.
Mzizi mkuu hapa ni ubunifu wako. Mengine yooote yanategemea mahitaji yako kulingana na imaginatio zako.
Well, tuanze na story. Kimsingi hakuna story mbaya. The way unavyohadithia ndiyo itaonekana ni mbaya au nzuri. Tuchukue mfano wa hadithi ya sungura, sizitaki mbichi hizi. Wengi tunaifahamu hii hadithi. Tuchukue fanani watano tuwape hii hadithi. Mpe Joti ahadithie. Then mpe Proffessor Kabudi aihadithie. Halafu mpe aliyekuwa mkuu wa mkoa wa tabora Mwanry akupigie hiyo story. Hiyohiyo hadithi mpe Haji Manara ai-present. Then Humphrey Polepole atie story hiyohiyo. Na mwisho tumpe mama Samia atuhadithie.
Story ni moja lakini unaweza ukapata ladha sita tofauti tofauti kulingana na fanani. Ladha nyingine ikakuvunja mbavu. Mwingine ukawa unasikiliza tu bila reaction yoyote. Mwingine akakuchosha kabisa. Mwingine akianza tu...unaingia whatsapp unaendelea kuchati. Lakini story ni ileile ila kilichobadilika ni fanani tu.
Tuchukulie mfano hai wa hadithi ya Yesu wa Nazareti. Nadhani hii ni moja kati ya hadithi ambayo imeandikiwa Script nyingi na kuchezwa movie nyingi mpaka animation zake. Na ukiangalia movie hizi unapata ladha au emotions tofauti tofauti.
Najaribu kufafanua hili kwasababu wengi wetu tunadhani au tumeaminishwa na manguli wa tasnia ya movie kwamba story nzuri ndio msingi wa movie bomba. As a result tunaacha uhalisia kwamba creativity ndio msingi mkuu na mwisho wa siku watu tunakwama. Tukiwa na right information kuna uwezekano mkubwa kufikia pale tunapopataka.
Mkuu Zacht natumaini kwenye swala ka ubunifu uko vizuri. Kazi unayojishughulisha nayo kwa sasa naona ina ubunifu ndani yake. Natumaini utakuwa director mzuri tu.
Kwa leo niishie hapa kwanza, nikipata muda tutaendelea kushirikishana kidogo ninachokijua kuhusu uongozaji wa movie.

Wakatabahu Infopaedia
 
Hongera sana kwa kufuata passion yako. Na maelezo yako nimeyaelewa coz na mimi ni mswahili, nayajua mazingira ya familia zetu za kiswahili.
Sasa basi, hapa JamiiForums ni mahala sahihi kupata maarifa.
Sasa basi, hapa jamii forums siyo mahala sahihi pa kupata maarifa.
Najua nimekuchanganya kidogo au sana. Usahihi wa hili jukwaa unategemea mind set yako. Kuna watu watakuvunja moyo na kukubeza. Kuna watu watakutia moyo na kukupa mwangaza wa filim directing. Kuna wengine watakutoa kabisa kwenye mada na kujadili mambo mengine kabisa. All in all tulia kuwa positive, usi-panic, ndiyo dunia and thi is Jf.
Filim directing ni nini???.....ni art of story telling, sanaa ya kuhadithia hadithi kwa kutumia picha zinazotembea. Ukiwa na story yako, kuna vifaa vitakusaidia kutengeneza pucha zinazotembea. Vifaa ni kama kamera, watu, mwangaza, mazingira, sauti, softwares, etc, etc, kadiri ya creativity au imagination zako. Hizo zote ni tools zitakazokusaidia kuhadithia story yako kadiri ya ubunifu wako.
Mzizi mkuu hapa ni ubunifu wako. Mengine yooote yanategemea mahitaji yako kulingana na imaginatio zako.
Well, tuanze na story. Kimsingi hakuna story mbaya. The way unavyohadithia ndiyo itaonekana ni mbaya au nzuri. Tuchukue mfano wa hadithi ya sungura, sizitaki mbichi hizi. Wengi tunaifahamu hii hadithi. Tuchukue fanani watano tuwape hii hadithi. Mpe Joti ahadithie. Then mpe Proffessor Kabudi aihadithie. Halafu mpe aliyekuwa mkuu wa mkoa wa tabora Mwanry akupigie hiyo story. Hiyohiyo hadithi mpe Haji Manara ai-present. Then Humphrey Polepole atie story hiyohiyo. Na mwisho tumpe mama Samia atuhadithie.
Story ni moja lakini unaweza ukapata ladha sita tofauti tofauti kulingana na fanani. Ladha nyingine ikakuvunja mbavu. Mwingine ukawa unasikiliza tu bila reaction yoyote. Mwingine akakuchosha kabisa. Mwingine akianza tu...unaingia whatsapp unaendelea kuchati. Lakini story ni ileile ila kilichobadilika ni fanani tu.
Tuchukulie mfano hai wa hadithi ya Yesu wa Nazareti. Nadhani hii ni moja kati ya hadithi ambayo imeandikiwa Script nyingi na kuchezwa movie nyingi mpaka animation zake. Na ukiangalia movie hizi unapata ladha au emotions tofauti tofauti.
Najaribu kufafanua hili kwasababu wengi wetu tunadhani au tumeaminishwa na manguli wa tasnia ya movie kwamba story nzuri ndio msingi wa movie bomba. As a result tunaacha uhalisia kwamba creativity ndio msingi mkuu na mwisho wa siku watu tunakwama. Tukiwa na right information kuna uwezekano mkubwa kufikia pale tunapopataka.
Mkuu Zacht natumaini kwenye swala ka ubunifu uko vizuri. Kazi unayojishughulisha nayo kwa sasa naona ina ubunifu ndani yake. Natumaini utakuwa director mzuri tu.
Kwa leo niishie hapa kwanza, nikipata muda tutaendelea kushirikishana kidogo ninachokijua kuhusu uongozaji wa movie.

Wakatabahu Infopaedia
Asante mkuu
 
Hongera sana kwa kufuata passion yako. Na maelezo yako nimeyaelewa coz na mimi ni mswahili, nayajua mazingira ya familia zetu za kiswahili.
Sasa basi, hapa JamiiForums ni mahala sahihi kupata maarifa.
Sasa basi, hapa jamii forums siyo mahala sahihi pa kupata maarifa.
Najua nimekuchanganya kidogo au sana. Usahihi wa hili jukwaa unategemea mind set yako. Kuna watu watakuvunja moyo na kukubeza. Kuna watu watakutia moyo na kukupa mwangaza wa filim directing. Kuna wengine watakutoa kabisa kwenye mada na kujadili mambo mengine kabisa. All in all tulia kuwa positive, usi-panic, ndiyo dunia and thi is Jf.
Filim directing ni nini???.....ni art of story telling, sanaa ya kuhadithia hadithi kwa kutumia picha zinazotembea. Ukiwa na story yako, kuna vifaa vitakusaidia kutengeneza pucha zinazotembea. Vifaa ni kama kamera, watu, mwangaza, mazingira, sauti, softwares, etc, etc, kadiri ya creativity au imagination zako. Hizo zote ni tools zitakazokusaidia kuhadithia story yako kadiri ya ubunifu wako.
Mzizi mkuu hapa ni ubunifu wako. Mengine yooote yanategemea mahitaji yako kulingana na imaginatio zako.
Well, tuanze na story. Kimsingi hakuna story mbaya. The way unavyohadithia ndiyo itaonekana ni mbaya au nzuri. Tuchukue mfano wa hadithi ya sungura, sizitaki mbichi hizi. Wengi tunaifahamu hii hadithi. Tuchukue fanani watano tuwape hii hadithi. Mpe Joti ahadithie. Then mpe Proffessor Kabudi aihadithie. Halafu mpe aliyekuwa mkuu wa mkoa wa tabora Mwanry akupigie hiyo story. Hiyohiyo hadithi mpe Haji Manara ai-present. Then Humphrey Polepole atie story hiyohiyo. Na mwisho tumpe mama Samia atuhadithie.
Story ni moja lakini unaweza ukapata ladha sita tofauti tofauti kulingana na fanani. Ladha nyingine ikakuvunja mbavu. Mwingine ukawa unasikiliza tu bila reaction yoyote. Mwingine akakuchosha kabisa. Mwingine akianza tu...unaingia whatsapp unaendelea kuchati. Lakini story ni ileile ila kilichobadilika ni fanani tu.
Tuchukulie mfano hai wa hadithi ya Yesu wa Nazareti. Nadhani hii ni moja kati ya hadithi ambayo imeandikiwa Script nyingi na kuchezwa movie nyingi mpaka animation zake. Na ukiangalia movie hizi unapata ladha au emotions tofauti tofauti.
Najaribu kufafanua hili kwasababu wengi wetu tunadhani au tumeaminishwa na manguli wa tasnia ya movie kwamba story nzuri ndio msingi wa movie bomba. As a result tunaacha uhalisia kwamba creativity ndio msingi mkuu na mwisho wa siku watu tunakwama. Tukiwa na right information kuna uwezekano mkubwa kufikia pale tunapopataka.
Mkuu Zacht natumaini kwenye swala ka ubunifu uko vizuri. Kazi unayojishughulisha nayo kwa sasa naona ina ubunifu ndani yake. Natumaini utakuwa director mzuri tu.
Kwa leo niishie hapa kwanza, nikipata muda tutaendelea kushirikishana kidogo ninachokijua kuhusu uongozaji wa movie.

Wakatabahu Infopaedia
Yaani mkuu sababu ya kutamani hii course ni kuwa director kishindikana kuwa director kwasababu labda zitakazo kuwa nje ya uwezo wangu ,basi nitafungua hata YouTube channel au kutengeneza matangazo ambayo kwa ujuzi nitakao kuwa nimeupata naamini nitatengeza vitu vyenye content nzuri .

Yaani hapa naanda muda nianze online course ,nimeona Kuna course inatolewa Udemy kwa Bei rafiki kwangu
 
Poleni na majukumu wakuu na habari zenu

Kabla kusomea course ambayo nimesoma saiz nilitamani Sana kuwa director wa movie kitu ambacho kipo moyoni.

Kilochoshindikana Mimi kusoma ni ndugu zangu wakanisema Sana kwamba unasoma vitu havina maana inatakiwa nisome kitu ambacho kipo sokoni, sikuwa na jinsi zaidi kukubali maana wao ndio watoa ada.

Sasa nimepata wazo la kujifunza hii taaluma hata kama sitaweza kutimiza kutimiza ndoto ya kuwa director lkn at least niwe na idea nayo maana hii Dunia inabidi uwe na fani zaidi ya moja.

Kuna software inaitwa blender hii imenivutia Sana natamani niijue,pia kucheza na green screen na VFX Sasa wakuu naomba mnipe A,B,C zake nianze wapi.

Asante
Pia kwa walikuwa hawajui kuna kozi full package inaitwa BACHELOR OF SCIENCE IN MULTIMEDIA TECHNOLOGY AND ANIMATION wanaweza pia kuifatilia
 
Poleni na majukumu wakuu na habari zenu

Kabla kusomea course ambayo nimesoma saiz nilitamani Sana kuwa director wa movie kitu ambacho kipo moyoni.

Kilochoshindikana Mimi kusoma ni ndugu zangu wakanisema Sana kwamba unasoma vitu havina maana inatakiwa nisome kitu ambacho kipo sokoni, sikuwa na jinsi zaidi kukubali maana wao ndio watoa ada.

Sasa nimepata wazo la kujifunza hii taaluma hata kama sitaweza kutimiza kutimiza ndoto ya kuwa director lkn at least niwe na idea nayo maana hii Dunia inabidi uwe na fani zaidi ya moja.

Kuna software inaitwa blender hii imenivutia Sana natamani niijue,pia kucheza na green screen na VFX Sasa wakuu naomba mnipe A,B,C zake nianze wapi.

Asante
Unaweza kutumia muda wako kwenye kufatilia Udemy ,edux app& website kuna course kibao sometimes zinakuwa free maana nyingi ni za kulipia
Pia unaweza kufuatilia YouTube kupata ujuzi zaidi ..asante...
 
Unaweza kutumia muda wako kwenye kufatilia Udemy ,edux app& website kuna course kibao sometimes zinakuwa free maana nyingi ni za kulipia
Pia unaweza kufuatilia YouTube kupata ujuzi zaidi ..asante...
Ni kweli bro nilijaribu kufuatilia baadhi tutorial za software YouTube nikakuta Kuna tutorial nyingi Sana free, nataka nianze na hizi software mbili adobe premiere pro na after effects kupata basic knowledge kwanza then nitaingia Udemy maana bila hivyo naweza nikanunua course afu mwisho wa siku nikatoka mweupe na hela ikanda bure.
 
Ni kweli bro nilijaribu kufuatilia baadhi tutorial za software YouTube nikakuta Kuna tutorial nyingi Sana free, nataka nianze na hizi software mbili adobe premiere pro na after effects kupata basic knowledge kwanza then nitaingia Udemy maana bila hivyo naweza nikanunua course afu mwisho wa siku nikatoka mweupe na hela ikanda bure.
Kweli hapo point kabisa
 
Pia kwa walikuwa hawajui kuna kozi full package inaitwa BACHELOR OF SCIENCE IN MULTIMEDIA TECHNOLOGY AND ANIMATION wanaweza pia kuifatilia
Hii course ndio nilitaka kusomea pale DIT wanakaniambia niache kusomea vitu visivyokuwa na maana😀😀😀 dah familia zetu za kiswahili hizi
 
Hii course ndio nilitaka kusomea pale DIT wanakaniambia niache kusomea vitu visivyokuwa na maana dah familia zetu za kiswahili hizi
Sema dit wanatoa diploma pekee ... degree ndio ipo moja. Udom.....sema familia hawaelewi wanaona watapoteza ela mtoto wao aje kuwa mpiga picha...wakat iko wide sana tofauti na picha
 
Back
Top Bottom