Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,803
- 17,414
Nahitaji kifaa cha music cha kisasa kabisa ila sikijui ni kipi. Naamini hapa wapo wanaojua, ambacho unaweza kuunganjsha kwa PC, simu na TV, pia inakubali all media player kama mp3 sijui mpeg zote, ukiweka CD, card, USB, nikiunga kwa simu inatafuna bila kubagua kuwa IPO mp3, 4, 8 yaani inatafuna tu haibagui na volume iwe inakupa aina zote unayotaka kama laini, Kali,.
Please msaada kwa watalaamu wa mambo haya.bajeti yangu ni 100Usd
Sent using Jamii Forums mobile app
Please msaada kwa watalaamu wa mambo haya.bajeti yangu ni 100Usd
Sent using Jamii Forums mobile app