Mkalibari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 659
- 396
Habari wandugu,kama kuna mtu yeyote anaweza niuzia friji dogo kabisa...ajitokeze.
ni kwa ajiri ya matumizi binafsi ya kinyumbani.
utaratibu.
1.nitajie spesfication zake
2.umelitumia muda gani
3.unapatikana wapi.
4.bei gani
5.picha yake itakua bora zaidi.
6.weka namba yako ya simu ntakupigia mimi mwenyewe.
NB:ninahitaji moja tu (NAOMBA LIWE DOGO KABISA)..na nitachukua litakalonivutia na lenye ofa ya chini zaidi ya wengine.
Karibu tufanye biashara.
Update.
Napatikana dar es salaam
ni kwa ajiri ya matumizi binafsi ya kinyumbani.
utaratibu.
1.nitajie spesfication zake
2.umelitumia muda gani
3.unapatikana wapi.
4.bei gani
5.picha yake itakua bora zaidi.
6.weka namba yako ya simu ntakupigia mimi mwenyewe.
NB:ninahitaji moja tu (NAOMBA LIWE DOGO KABISA)..na nitachukua litakalonivutia na lenye ofa ya chini zaidi ya wengine.
Karibu tufanye biashara.
Update.
Napatikana dar es salaam