Nahitaji hizi MOVIE wakuu, msaada please...

Nahitaji hizi MOVIE wakuu, msaada please...

Hamna nyingine za aina hii mtupie hapa?hz nshaziona kasoro hyo wish master ntaitafuta ni download

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Madua waweza zipata bure kupitia kickasstorrents.com
We andaa bundle lakutosha kushusha movies zote
 
wadau kwa anaejua movie kali sana na nzuri katika mwaka huu atupie japa wadau tuisake but iwe ys ukweli..kwa kuanzia mimi nakushauri tafuta movie inaitwa olympus has fallen au white housr down..tiririkeni wakuu
 
mimi ninayo hiyo ya Olympus has fallen", bonge la movie one of the best, ni pm tuongee vzr bei.


Ukipata na mie naomba hii 'Olympus has fallen'
 
Ninayo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
mimi ninayo hiyo ya Olympus has fallen", bonge la movie one of the best, ni pm tuongee vzr bei.


Ukipata na mie naomba hii 'Olympus has fallen'

Hapo kwenye bluu mbona hueleweki?
 
mimi ninayo hiyo ya Olympus has fallen", bonge la movie one of the best, ni pm tuongee vzr bei.


Ukipata na mie naomba hii 'Olympus has fallen'

mkuu acha mbwembwe he he he he he he he he he unataka kumdalalia jamaa he he he he he he he
 
Nilifikiri zile...hahaaaa kumbe hizi...nenda cinemax au mcity buku kumi tu
 
una bandwidth ya kutosha nikupe link, au unataka nikudownloadie?? au unataka nikuunge na huduma ya wireless internet yenye speed kubwa mno utapata net utumie upendavyo bila kikomo kwa 350 kwa siku au elfu 10 kwa siku 32??
kama upo miji mikubwa utaweza kudownload movie moja kwa dakika 12 tu.
kwa siku unaweza kupata movies zaidi ya kumi.
chagua

Ebhana Paje embu nipe mchakato wa hiyo internet inapatikanaje.....!!
 
Last edited by a moderator:
Kuna scientific movie moja nimeiona hivi karibuni inaitwa "source code" Nimeipenda kwa kweli.
 
Mi ni muuzaj wa muv hzo zote na nyingne ninazo!
 
me naomba maujanaja ya wireless basi....tafadhali
una bandwidth ya kutosha nikupe link, au unataka nikudownloadie?? au unataka nikuunge na huduma ya wireless internet yenye speed kubwa mno utapata net utumie upendavyo bila kikomo kwa 350 kwa siku au elfu 10 kwa siku 32??
kama upo miji mikubwa utaweza kudownload movie moja kwa dakika 12 tu.
kwa siku unaweza kupata movies zaidi ya kumi.
chagua
 
Me Nina movie zoooote latest u just name it ntakupatia asap
Bt sina bongo movie au naija movies...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom