Keagan Paul
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 500
- 3,057
OK
Lete million 2 nkupe Toyota cami saafiNatafuta gari yoyote. Cha muhimu iwe inawaka tu. Bajet Tsh milioni moja.
njoo nkupe gx100 safi kabisa kwa 1.8m interested nichekiNatafuta gari yoyote. Cha muhimu iwe inawaka tu. Bajet Tsh milioni moja.
Hii number gani na unauza bei gani? Haijawi kupata ajali?.....+255714908121Nauza scania114 iko mawasiliano garad ya Moshi pale
Mkuu acha tu ni mambo ya fedha kwenye makaratasi ila uhalisia sina hata mia mbovu😀😀Hahaa mkuu wewe si ndio mambo ya pesa?
tafta hela acha kulia liaHadi nakuonea wivu mkui, we umepata wapi hizo pesa zote hadi ununue magari yote hayo? Ni wivu tu baada ya mimi kutokua hata kiasi cha kununua gari moja
Ahsante! Kwahiyo wewe ulivoacha kulia unapesa ngapi sahivi?tafta hela acha kulia lia
Mkuu. Asante kwa ofa. Ipo moja tu. By the way naomba unitumie picha.Lete million 2 nkupe Toyota cami saafi
GX 110Kama unayo gari unauza nichek kwa 0713415537
1) Naomba Prado Diamond (Prado TX 120) kuanzia no C, engine iwe 2tr tuu, budget 20M
2) Naomba Rumion kali isiyorudiwa rangi No D za mbele, Budget 10M chap,
3 Nipe Costa mayai ya Engine 1hz tu, Seat 29, means zile ndefu, budget 35, isiwe na mkanda na isiwe na kipengele chochote, naweza panda
4) Nipe rav 4 Miss Tz (rav 4 mode 2006-2009) iwe kali namba D za mwishoni, iwe haijarudiwa rangi kokote budget 18M
5) Nipe CROWN ATHLETE Namba Mpya (za mbele tu) Cc 2490 Bajeti 11.m Hadi 12M, plz kama haina viwango usitume
6) Nipe PREMIO Model 2002/2005 Cc 1490 DarkGrey Colour Sio Silver Bajeti 14.5.m Hadi 15M iwe chases tu.
7) Nipe kill time vvti (rav 4 mode 2001-2005) no D kali ya 13M isiwe imerudiwa rangi
8) Nipe Raum new model kuanzia no C kali gari iwe nzuri, ofa 5M
9) Naomba Carina au Funcago kali budget ya 4M gari iwe nzuri ya kushawishi
10) Naomba IST kuanzia no DP iwe kali na haijawahi rangi, buget 8M
11) Nipe premio new model no D kali engine ndogo, cc 1490 tu, budget 10M
Mwisho nipe gari yoyote unayouza ambayo unataka pesa ya haraka, nichek tumalize
Note budget inaweza kupanda kulingana na ubora wa gari
Nichek kwa 0713415537 au fika ofisini Mwenge dar es salaam
TAFADHALI NITUMIE GARI UNAYOIJUA, AMBAYO UNA UHAKIKA NAYO NA AMBAYO IPO FULL DOCUMENTS, ZA DAR NAKUJA HAPO HAPO, MKOANI TUTAELEWANA
Aina gani hiyo Noah mkuu.....tuma picha tucheki......nauzwa TOYOTA NOAH NAMBA DHE IMESIMAMA 13.5M UNATEST MPAKA MORO UNARUDI NAWEKA MAFUTA NICHEKI 0713669533
Huyo ni mdada nadhani, sina uhakikatafta hela acha kulia lia
Lisimamishe hap uwanjani tulione, tumuwahi before...Mimi nina Mitsubishi Minicab cc 650 iko bomba namba B imetumika kidogo sana muda mwingi imekaa home hapa. .nimeona sina matumizi nayo tena baada ya kazi yangu kwisha.
6ml nauza nilinunua 11 Mln
Dalali huyo nawe ujiongezage... Tubet jackpot tutazipata tuHadi nakuonea wivu mkui, we umepata wapi hizo pesa zote hadi ununue magari yote hayo? Ni wivu tu baada ya mimi kutokua hata kiasi cha kununua gari moja
Usichoelewa mtoa mada ni muuza magari ila tangazo kalileta kistyleHadi nakuonea wivu mkui, we umepata wapi hizo pesa zote hadi ununue magari yote hayo? Ni wivu tu baada ya mimi kutokua hata kiasi cha kununua gari moja😛
Cc 650 ni bodaMimi nina Mitsubishi Minicab cc 650 iko bomba namba B imetumika kidogo sana muda mwingi imekaa home hapa. .nimeona sina matumizi nayo tena baada ya kazi yangu kwisha.
6ml nauza nilinunua 11 Mln