Nahitaji Gari ya bei nafuu, nna Milion 3.

Nahitaji Gari ya bei nafuu, nna Milion 3.

Mjasiriamali M

Senior Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
142
Reaction score
69
Habari wanajamii, kama post inavyojieleza , nnahitaji gari ya kutembelea, chaser 4S, mark 2, corolla au carina. Zikiwa 4 cylinder itakuwa vizuri zaidi, mwaka kuanzia 1992 na kuendelea. Mwenye gari miongoni mwa hizo na bei za kufanana anitafute tafadhali. O719447204.
 
Ninayo mark II GR ongeza laki tatu tumalize biashara. Ni 4 clynder na nzima inatembea.

Nipigie kwenye 0767659145, 0787659145
Email: alphonce@alphonce.net


Habari wanajamii, kama post inavyojieleza , nnahitaji gari ya kutembelea, chaser 4S, mark 2, corolla au carina. Zikiwa 4 cylinder itakuwa vizuri zaidi, mwaka kuanzia 1992 na kuendelea. Mwenye gari miongoni mwa hizo na bei za kufanana anitafute tafadhali. O719447204.
 
Mkuu kwa ushuri wangu, hiyo hela ungenunua pikipiki mpya, halfu uendelee kujipanga, mungu si athumani hapo mbeleni utaweza kuwa mmiliki wa gari, maana milioni tatu utapata gari la kuripoti gereji daily au likufie kabisa!
 
Kaka hiyo pesa inatosha kabisa kuna watu wana hizo gari nzimaa kabisaa na wamezifungia majumbani mwao, wanaenda na fashioni, usikatishwe tamaa na mtu hapa, tulia utapata gari nzuri na isiyohitaji mafundi wa kila siku
 
Kaka hiyo pesa inatosha kabisa kuna watu wana hizo gari nzimaa kabisaa na wamezifungia majumbani mwao, wanaenda na fashioni, usikatishwe tamaa na mtu hapa, tulia utapata gari nzuri na isiyohitaji mafundi wa kila siku


Kweli kabisa?
 
Mkuu kwa ushuri wangu, hiyo hela ungenunua pikipiki mpya, halfu uendelee kujipanga, mungu si athumani hapo mbeleni utaweza kuwa mmiliki wa gari, maana milioni tatu utapata gari la kuripoti gereji daily au likufie kabisa!

Jitahidi ujue number za spaner vile vile,na maduka ya kununulia spea,maana unaweza kujikuta unafanya kazi ya kuumba gari hadi lifikie thamani yake halisi,keep on going
 
Unapatikana wapi? Kama unaishi Mza ni PM nikuelekeze utapa unachohitaji...
 
Kaka hiyo pesa inatosha kabisa kuna watu wana hizo gari nzimaa kabisaa na wamezifungia majumbani mwao, wanaenda na fashioni, usikatishwe tamaa na mtu hapa, tulia utapata gari nzuri na isiyohitaji mafundi wa kila siku
hapa jamvin kuna watu wa aina tofautitofauti, hapa lazima uwe za mbayumbayu
 
Nimetaarifiwa kuhusu nissan primera ya 1997, na ina cc 1998. Vipi kuhusu hiyo wadau?:confused2:
 
Nimetaarifiwa kuhusu nissan primera ya 1997, na ina cc 1998. Vipi kuhusu hiyo wadau?:confused2:

Gari ya umri wa miaka 15, na hasa pia kama ina km nyingi, itakuwia gharama sana kuhakikisha inabaki barabarani. Ndio maana inasukumwa kwa milioni 3. Ushauri wa wadau kuhusu kurafikiana na gereji, japo waweza kuiona lugha ya utani, ni serious kabisa.
 
Hiyo nissani spea ni ghali pia hiyo Engine CC1998 ni kubwa sana kwa saloon...itakunjwa sana mafuta unaweza kuishindwa kama hauko vizuri. Tafuta Engine capacity kati ya cc1000 na 1300 au basi cc1500 isipite hapo.
 
Jamani nitafutieni suzuki carry hiyo ni tosha kwangu sihitaji starehe mimi nahitaji kazi.
 
Habari wanajamii, kama post inavyojieleza , nnahitaji gari ya kutembelea, chaser 4S, mark 2, corolla au carina. Zikiwa 4 cylinder itakuwa vizuri zaidi, mwaka kuanzia 1992 na kuendelea. Mwenye gari miongoni mwa hizo na bei za kufanana anitafute tafadhali. O719447204.
3M upate gari? Labda enzi za jaba.... Kwa hela hiyo utakuwa unanunu skrepa. Katafute pikipiki aina ya boxer, haya mambo ya kutafuta kufahamiana na mafundi wa gereji utapata ugonjwa wa moyo kama si wa roho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom