Mgoda simtwange
Senior Member
- Sep 7, 2012
- 168
- 64
Nahitaji gari ya aina ya Noah ambayo ni used hapa tz. Iwe na sifa zifuatazo
1. Iwe katka hali nzuri ndani ya gari, kwenye injin na gear box. na nje iwe na muonekano mzuri.
2. Iwe haijwahi kupata ajali.
3. Dalali asihusike.
4. Isiwe na mgogoro na mtu au kikundi cha watu au serikali
5. Iwe na vibali halali vya umiliki na hati za malipo au kodi anuai
kama Noah yako inakidhi vigezo hivyo na vingine vingi unaweza kuni PM kwa mazunguzo na maelewano zaidi.
Nina utalaamu na uzoefu wa kutosha kuhusu na mgari. Kwa hiyo kama unajua gari yako haikidhi vigezo tafadhali sana usijusumbue wala usinisumbue maana sitakuwa mteja wako na utaumbuka. Karibuni sana
1. Iwe katka hali nzuri ndani ya gari, kwenye injin na gear box. na nje iwe na muonekano mzuri.
2. Iwe haijwahi kupata ajali.
3. Dalali asihusike.
4. Isiwe na mgogoro na mtu au kikundi cha watu au serikali
5. Iwe na vibali halali vya umiliki na hati za malipo au kodi anuai
kama Noah yako inakidhi vigezo hivyo na vingine vingi unaweza kuni PM kwa mazunguzo na maelewano zaidi.
Nina utalaamu na uzoefu wa kutosha kuhusu na mgari. Kwa hiyo kama unajua gari yako haikidhi vigezo tafadhali sana usijusumbue wala usinisumbue maana sitakuwa mteja wako na utaumbuka. Karibuni sana