Nahitaji fremu

alikhalef

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2012
Posts
717
Reaction score
75
Wana jamii ninashida sanaa na frem mbili.

Kwanza kwaajili ya biashara ya vitu vya mtaani au sokoni(food staff).

Na frem kwaajili ya kukamua juice ya miwa. kwa maeneo yote ya Dar. Atakayefanikisha kupata frem yeyote ile au zote na nikazipenda basi atapata zawadi nono.

Contact 0779420000.
 
Maeneo gani unataka? Fafanua
 
Kuna mtu humu ndani anapangisha fremu manzese midizini, umemcheck?
 
Sihitaji zawadi nono wala dhaifu njoo manzese Argentina hiyo huduma ni adimu
 
mkuu ulishapata flame na vp biashara yako inaendaje na mm naitaji flame ya mazao ya chakula kama mchele,unga sembe na maharage
 
Atakae hitaji frame rangi tatu ndani ya kituo ni nzuri kwa biashara ya mpesa,tigo pesa, na simu....300,000 kwa mwezi...
 
Kuna mtu humu ndani anapangisha fremu manzese midizini, umemcheck?
wa manzese midizini dar es salaam umemcheki nani? kuna fremu nzuri katika nyumba ambayo kuna usalama mkubwa bei 120,000 kwa mwezi ukihitaji nicheki 0712212220
 
Hizi ni Kazi za watu Mkuu, hapo ishu sio zawadi sema unataka maeneo gani ukaoneshwe frem...

ZINGATIA: Kupelekwa ni fedha....
 
Atakae hitaji frame rangi tatu ndani ya kituo ni nzuri kwa biashara ya mpesa,tigo pesa, na simu....300,000 kwa mwezi...

Mkuu huja weka namba naihitaji hiyo Frem ya mbagala rangi 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…