Tariq f
JF-Expert Member
- Dec 11, 2021
- 233
- 347
wakubwa habari
Nina shida na fremu au eneo la biashara kwa ajili ya uuzaji wa vitu kama juisi vitafunwa na chips, kwa maeneo ya temeke dar es salaam na pia liwe linaruhusu biashara hizo hapo juu
Bajeti yangu kwa eneo ni elfu 50 kwa
Mwezi
Nipo temeke Dar es Salaam
Kama lipo please naomba tuongee biashara
Nina shida na fremu au eneo la biashara kwa ajili ya uuzaji wa vitu kama juisi vitafunwa na chips, kwa maeneo ya temeke dar es salaam na pia liwe linaruhusu biashara hizo hapo juu
Bajeti yangu kwa eneo ni elfu 50 kwa
Mwezi
Nipo temeke Dar es Salaam
Kama lipo please naomba tuongee biashara