Tunatafuta Eneo kwa ajili ya biashara

Tunatafuta Eneo kwa ajili ya biashara

radhiya

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2015
Posts
629
Reaction score
454
Tangazo kwa Wamiliki wa Mali!
Kwa niaba ya mteja wetu, tunatafuta sehemu kwa ajili
ya kukodi kuweka biashara ya chakula cha haraka(fast food).

Maeneo yawe: Oysterbay(Haile Selassie), Masaki(Chole road).
Ukubwa: Kuanzia sqm 200.

Bajeti ya mteja: Itategemea na eneo litakalopatikana.

Ikiwa una sehemu inayofaa ambayo inakidhi vigezo hivi tafadhali wasiliana nasi!

Zingatio:Tuma picha au video ya sehemu husika.

Mawasiliano: 0767 833345, 0784
829565, 0627 605807
@prathrealestate
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom