Nahitaji eneo la kufugia kuku

Nahitaji eneo la kufugia kuku

martial jb

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
864
Reaction score
1,464
Habarini wanajamvi

Nina shida na eneo la kufugia kuku, nahitaji mahala nitakapoweka banda la kuku na kuanza mradi wa ufugaji wa kuku.

Eneo hilo si kwa nia ya kulinunua kwani sina pesa hiyo kwa sasa, ila nahitaji eneo ambalo angalau nitalipia kodi kwa mwezi.

Nahitaji eneo lililowazi na kubwa ambalo halipo mbali sana na makazi ya watu, ambapo inaweza kuwa rahisi kupata uangalizi kutoka kwa wenyeji husika, eneo hili ni kwa Dar es salaam tu!
 
Sema Unahitaji Upo Mkoa, Wilaya, Kata, Kijiji
Mimi Nipo Kyerwa Mapori Tele Njoo Ufuge Uweke Hayo Mabanda
 
Feedback.
Watu wamekuwa wakipigia simu kuhusiana na mada hapo juu.nikaona nitoe ufafanuzi hapa ili kuondoa usumbufu kuja Hadi kwangu .

Nina eneo la kutosha kufugia kuku hata Kama Ni laki moja au nguruwe hata Kama ni 1000 na sitamkera jirani yeyote kutokana na nature ya eneo .

Sasa Basi siuzi eneo we Kama una mtaji wa kazi I mean mabanda na ufugaji njoo nikukatie eneo ufuge kwa maelewano .

Umeme upo ,maji yapo ,njia inapitika majira yote.shamba lipo kilometer 1 toka gogoni police.....haya kazi Ni kwako
 
Back
Top Bottom