ndala fupi
Member
- Dec 1, 2018
- 5
- 4
Habari zenu wanaJF
Mimi ni kijana wa miaka 22. Ndoto zangu ni kufungua kibanda cha chipsi na mtaji ninao kama laki 7 hivi.
Naombeni msaada wa eneo la kuanzisha biashara hii hapa Dar. Hata nikipata kakibaraza cha kukodisha sawa tu au nikipata sehemu local local za uswahilini penye uhakika wa wateja wengi sawa tu kama vile Manzese, Tandika hata Kariakoo ikiwezekana na sehem nyingine.
Ofa yangu ya eneo ni kuanzia Elfu 30, 40 au 45 kwa mwezi ikizid sana ili nsile mtaji na manunuzi mengine.
NAOMBEN MNISAIDIE KWA HLO NDUGU ZANGU NIMEKIMBIA SANA NDO MAANA NIKAJA HUKU
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana wa miaka 22. Ndoto zangu ni kufungua kibanda cha chipsi na mtaji ninao kama laki 7 hivi.
Naombeni msaada wa eneo la kuanzisha biashara hii hapa Dar. Hata nikipata kakibaraza cha kukodisha sawa tu au nikipata sehemu local local za uswahilini penye uhakika wa wateja wengi sawa tu kama vile Manzese, Tandika hata Kariakoo ikiwezekana na sehem nyingine.
Ofa yangu ya eneo ni kuanzia Elfu 30, 40 au 45 kwa mwezi ikizid sana ili nsile mtaji na manunuzi mengine.
NAOMBEN MNISAIDIE KWA HLO NDUGU ZANGU NIMEKIMBIA SANA NDO MAANA NIKAJA HUKU
Sent using Jamii Forums mobile app