Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,823
- 1,043
wadau kwa mwenye ufahamu wa eneo lolote linalokodishwa maeneo tajwa hapo juu, ani pm ili tuwasiliane, eneo liwe favourable kwa ajili ya biashara ya bar, kwa maana liwe na uwazi na lisiwe finyu, pia liwe exposed sehemu yenye mishe mishe, kamisheni ya kidalali ipo.