Nahitaji Distilled Water, lita mia5. haraka

Nahitaji Distilled Water, lita mia5. haraka

Rene Jr.

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2014
Posts
3,730
Reaction score
2,392
Kichwa cha habari kinajieleza, nahitaji distilled water, lita zipatazo mia tano. Kampuni gani inaweza kuniuzia bidhaa hiyo wakuu.
Shukran
 
Kichwa cha habari kinajieleza, nahitaji distilled water, lita zipatazo mia tano. Kampuni gani inaweza kuniuzia bidhaa hiyo wakuu.
Shukran

Uko wapi ? na kw ajili ya matumizi gani ? packing ya namna gani ? ( 5, 10,20, 60,200 ltrs @) tupe bei yako unayonunulia
 
Hahhahaa, haya mkuu. Mara ya mwisho ameniletea supplier kwa Tsh. 1400/=, sasa hivi hana mzigo tu ndiyo maana nahangaika!

Huyo atakuwa amekinga maji ya mvua na kununua container tu haiwezi kuwa industrial produced distilled water, sio mbaya tegemea na kazi unayiyafanyia. shukran
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom