jay311
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 2,932
- 2,720
Kwa kweli hawa biumbe ni wagumu kuwapata,na ukiwapata bei yake inakuwa kubwa sana kwa kilo, we are talking about more than twenty something shillings per kilo for 'dagaa',but that's not the case hapa....
Muuzaji yyte wa bei ya jumla anayeweza kuniuzia kama kilo 200 hivi naomba anicheki.Nipo dsm.
Muuzaji yyte wa bei ya jumla anayeweza kuniuzia kama kilo 200 hivi naomba anicheki.Nipo dsm.