Nahitaji CV ya mkuu wa wilaya ya Temeke

Nahitaji CV ya mkuu wa wilaya ya Temeke

John W. Mlacha

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2007
Posts
3,504
Reaction score
1,343
Wadau naomba mtu mwenye cv na Picha ya Mkuu wa wilaya ya Temeke aviweke hapa.
 
Nenda pale Puma energy zamani BP kurasini,watakuwa nayo ktk makabrasha yao,au muulize Mahmoud Thabit Kombo.
 
eti ni kichongeo cha penseli ya mkuu wa kaya
 
Most beautiful Sophia Mjema Kikwete

Sophia-Mjema1.jpg



Hapa chini alienda airport kumpokea mzee

KK1.jpg
 
Kazi kweli kweli, anaitwa sophia Mjema Kikwete, kwa mtaji huu ndio maana alisema na wanawake nao wameanza kutoa rushwa, sikuelewa au ndio wajumbe wameanza kumzidi kete, mwanzoni sikujua ni rushwa gani,
Most beautiful Sophia Mjema Kikwete

Sophia-Mjema1.jpg



Hapa chini alienda airport kumpokea mzee

KK1.jpg
 
Mhhhhh.....,Tanzania bila ukimwi inawezekana"
 
Kuna tangazo fulani linasema "tuko wangapi"

Tangazo hili ni la "Tuko wangapi? Tulizana" na linawalenga wanaume na wanawake wa miaka 25-39 wa mijini na nusu mijini (peri-urban). Kwa wale wa umri wa miaka 40 kwenda juu haliwahusu!!! Labda lile la Fataki ndiyo linawagusa!!!


The Tuko Wangapi Tulizana Campaign Banner_0.jpg
 
Back
Top Bottom