Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 799
Nahitaji chumba cha kupanga Jijini Dar es salaam, kwa miezi mitatu tu, maana baada ya kipindi hicho nahamia mkoa mwingine. Aliye na chumba please tuwasiliane au ani-pm. Anieleze kiko sehemu gani na kodi ni shs ngapi!