Nahitaji chainsaw ya kukodi nipo Dar

Nahitaji chainsaw ya kukodi nipo Dar

Status
Not open for further replies.

Revolution

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2008
Posts
1,427
Reaction score
1,758
Habari wakuu,

Naomba kwa yoyote anayeweza kunipatia chainsaw ya kukodi kwa kipindi cha mwezi mmoja aje inbox. Ninaihitaji kwa haraka. Nimecheck hapo mtaa wa india wanaziuza 1.560.000.
Ninahitaji Hursqvana 272 ama 365 au nyingine bora kama hizo.

Asanteni.
 
Mungu wangu, hapo ni misitu inaenda kukiona cha moto.
 
Habari wakuu,

Naomba kwa yoyote anayeweza kunipatia chainsaw ya kukodi kwa kipindi cha mwezi mmoja aje inbox. Ninaihitaji kwa haraka. Nimecheck hapo mtaa wa india wanaziuza 1.560.000.
Ninahitaji Hursqvana 272 ama 365 au nyingine bora kama hizo.

Asanteni.
Unataka kukodi kwa Bei gani??
Na Ukiipata Used unanunua kwa Kiasi gani??
 
Unataka kukodi kwa Bei gani??
Na Ukiipata Used unanunua kwa Kiasi gani??
Kukodi kwa mwezi mmoja nitatoa Tshs 200,000 mafuta juu yangu pia chain ikiharibika nitareplace na kununua nitatoa laki 500,000 hadi 700,000 kutegemeana na ubora wake.
 
Laki tano
Kukodi kwa mwezi mmoja nitatoa Tshs 200,000 mafuta juu yangu pia chain ikiharibika nitareplace na kununua nitatoa laki 500,000 hadi 700,000 kutegemeana na ubora wake.
Mnamaanisha Chainsaw iliyonunuliwa 1.56Mil iuzwe laki 5 ikiwa used?
Poa, mkikomaa mtapata tu,
Kila la heri,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom