Nahitaji boyfriend

Nahitaji boyfriend

mm ni beuti kama jina langu linavyojieleza,naishi MWANZAnahitaji boyfriend wa kimapenzi awe na sifa zifuatazo
1.umri 18-21
2.mwenye elimu
3.handsome
4.awe anaishi MWANZA
3.awe mkweli, kwa aliye tayari follow 0769645726

Tatzo mim npo dar.
 
Weka cheti cha Angaza kwanza,TUKO WANGAAAPIIIIIIIIIIIIIIIII????TULIZANA
 
Mimi nipo hapa mwanza cm haupokei na sifa zote ninazo,uko serious au ulikuwa unatania?
 
nikweli hiyo namba ni mwanamke anaitwa H lakin nibonge la msanii au labda kuna muhun 1 kaamua kujibunia namba 1 ya sim na kuitupia hapa jf mi sina hamu na hawa wanaosema wanatafuta wa ume ni usanii mtupu
 
mm ni beuti kama jina langu linavyojieleza,naishi MWANZAnahitaji boyfriend wa kimapenzi awe na sifa zifuatazo
1.umri 18-21
2.mwenye elimu
3.handsome
4.awe anaishi MWANZA
3.awe mkweli, kwa aliye tayari follow 0769645726

Mmh utoto raha jamani unatamani vyote vizuri viwe vyako!!!! Nakuona kabisa mawazoni mwako umejenga picha gani!! Trust me kwasasa waweza mpata lakini utakuja kuolewa na mtu tofauti kabisa na vigezo vyako na ukilazimisha utaishia maumivu
 
mimi sifa na vigezo vyote ninazo,nitumie vocha kama kweli upo serious ili nikupigie.
 
Mmh utoto raha jamani unatamani vyote vizuri viwe vyako!!!! Nakuona kabisa mawazoni mwako umejenga picha gani!! Trust me kwasasa waweza mpata lakini utakuja kuolewa na mtu tofauti kabisa na vigezo vyako na ukilazimisha utaishia maumivu

As if anakuelewa vile mkuu,yani haya uliyosema mwenzio haelewi hata moja,hapo ana illusions za kufa mtu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom