Hivi ndio inakuwaga baadae mkishakuwa kwenye penzi unaulizwa, Mpenzi wako mlikutana wapi anajibu "Jamii forum". Unabaki na maswali mengi kwa hali ya sasa.
Ila sikukatushi tamaa...Kila la kheri Bi Khadija
ZERO IQ dada yangu unamuonaje naona kama anakufaa kuwa mnabadirishana mawazo
dada kuna mahali umeona nimeandika natafuta rafiki jf wewe si ndiyo umetuomba tyukusaidie kutafuta mbona povu kali tena???Kwa nini usimchukue wewe ?
Unaonekana huelewi maana ya boyfriend. Consult your dictionary
ata ye mwenyw amesahau alichoombadada kuna mahali umeona nimeandika natafuta rafiki jf wewe si ndiyo umetuomba tyukusaidie kutafuta mbona povu kali tena???
I dont need to.i bet you went to read? Ha ha ha.... Ni lugha ambayo nmekuwa nayo naifahamu. Unafahamu maana ya etymological meaning? I rarely use dictionaries especially to these common words. And if i wanna use i use 21st chambers Dictionary au Oxford advanced dictionary.
lugha ina tatizo hapa nimegundua kituI dont need to.i bet you went to read? Ha ha ha.... 😂😂😂 Ni lugha ambayo nmekuwa nayo naifahamu. Unafahamu maana ya etymological meaning? I rarely use dictionaries especially to these common words. 😁😁😁 And if i wanna use i use 21st chambers Dictionary au Oxford advanced dictionary.
Kule jeshini tunasema umepiga fupi Kali.zen ukaweka kituo kikubwa ukatoka ndukiUnaonekana huelewi maana ya boyfriend. Consult your dictionary
hebu ninong'oneze mkuu!ukishindwa mi ntakusaidia
dada kuna mahali umeona nimeandika natafuta rafiki jf wewe si ndiyo umetuomba tyukusaidie kutafuta mbona povu kali tena???
Mwambie unakoishia uchawi was kizungu (sayansi) ndo uchawi wa kiafrika unapoanziaMwanaume hapewi vyote.
Ushauri.
Date na kila mwenye sifa unazotaka.
Na maanisha tafuta mwanaume mcheshi.
Tafuta na anayejua kingereza.
Tafuta na ambaye ni mwelewa.. Nk
Hapo ukiwajumlisha wote kwa pamoja utakuwa umeshapata unachokizungumzia
Hata hivyo "sehemu za siri ndizo zitakazoumia". (Sijui lakini)
halafu unao unajinsia mbili ya ke na me maana mwanamke hajafundishwa kuwa jeuri kiasi chako halafu mimi siyo keDada ni wapi nmeandika kuomba nisaidiwe kutafuta rafiki? Naona wewe ndo umetoka povu. Mimi nmeandika kutafuta mwenyewe aje. Wewe unasema nmeomba nitafutiwe.... Na hapo dada yangu nimeandika kiswahili chepesi kabisa hivi hujanielewa? Jamani au swaumu?
Abee...Kule jeshini tunasema umepiga fupi Kali.zen ukaweka kituo kikubwa ukatoka nduki