Nahitaji blender original

Nahitaji blender original

LECTURER Tobe

New Member
Joined
Aug 16, 2018
Posts
3
Reaction score
0
Habari za muda huu wapendwa. Ninaulizia blender original nazipata kampuni gani na kwa shilingi ngapi?
 
iko moja inaitwa kanchan nafikiri kama sijakosea nimeitumia sasa mwaka wa 14 zunguka ka/koo
 
Tulitaka kununua Kenwood kwa matumizi ya familia tukapewa angalizo kwamba Kenwood zipo origional na fake, utazijuaje? Tumeshauriwa tutafute BISH BLENDER tukaambiwa hizo ni brand mpya na Imara na hazijachakachuliwa, wadau mnazifahamu hizi BISH BLENDER? Ahsante
 
Tulitaka kununua Kenwood kwa matumizi ya familia tukapewa angalizo kwamba Kenwood zipo origional na fake, utazijuaje? Tumeshauriwa tutafute BISH BLENDER tukaambiwa hizo ni brand mpya na Imara na hazijachakachuliwa, wadau mnazifahamu hizi BISH BLENDER? Ahsante
Vitu vingi vya Kenwood ni original nenda kwenye maduka yanayoaminika ya dealers wakubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante kwa mwongozo
Blenders tunazo high performance ni laki tatu na nusu tupigie 0762612213
IMG-20190125-WA0029.jpeg
IMG-20181125-WA0038.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom