Nahitaji binti Mnyantuzu/Msukuma wa kuoa

Nahitaji binti Mnyantuzu/Msukuma wa kuoa

minze manonu

Member
Joined
Nov 27, 2013
Posts
50
Reaction score
16
Ndugu wana janvi, habari zenu. Mim ni Mtz ninaish Dar na ndoto yangu ni kumuoa msukuma au mnyantuzu ila kwa mazingira ya hapa mjini wamekuwa adimu sana kuwapata, mpaka nataman kuhamia Mikoa ya kanda ya ziwa kama Shy, Mza, Simiyu na Geita. Kama wapo hapa mjin tafadhali jitokezen nitimize ndoto yangu
 
Mkuu ukitaka kupata mnyantuzu original hamia Simiyu kabisa, tena Bariadi uzame ndani kabisa Halawa, Gibishi, Igwata, Giriku and the likes!!!!
Ndugu wana janvi, habari zenu. Mim ni Mtz ninaish Dar na ndoto yangu ni kumuoa msukuma au mnyantuzu ila kwa mazingira ya hapa mjini wamekuwa adimu sana kuwapata, mpaka nataman kuhamia Mikoa ya kanda ya ziwa kama Shy, Mza, Simiyu na Geita. Kama wapo hapa mjin tafadhali jitokezen nitimize ndoto yangu
 
Ndugu wana janvi, habari zenu. Mim ni Mtz ninaish Dar na ndoto yangu ni kumuoa msukuma au mnyantuzu ila kwa mazingira ya hapa mjini wamekuwa adimu sana kuwapata, mpaka nataman kuhamia Mikoa ya kanda ya ziwa kama Shy, Mza, Simiyu na Geita. Kama wapo hapa mjin tafadhali jitokezen nitimize ndoto yangu
Mi nahitaji wa kumpa talaka.
 
have faith in GOD, you will get one one day..

1964806_10152240927013503_733288701_n.jpg
 
Nitumie PM tuongee nina dada zangu wawili mmoja kamaliza form four na mwingine kamaliza la saba wote ni weupe..warefu..nipo kijiji cha Ng'walali...
 
Hahahahahahaaaaaa, uwiiii! Umenifurahisha kweli wewe! Sasa kwani kitunda sijui daslamu kuna nini? Sasa kwa taarifa yako naanza kukuvutia pumzi ili nikung'oe daslamu kwenu huko nije nikufiche huku Migato! Wallah tena wewe utakuwa wangu hakuna cha Paw wala nani ! na hivi ulivyo mweupe basi huo ndiyo ugonjwa wangu siunajua tena wanyantuzu na mwanamke mweupe!
Yaani wakati ule unanisololea kumbe uko bariadi! Yaani paw kanijengea nyumba kitunda, wee unataka unitoe,daslama. Kweli tamaa mbaya!
 
Last edited by a moderator:
huu weupe wa dukani babu weeh, hiyo fedha ya mkorogo wa kisasa uiandae kabisaaa.
migito ndo wapi? ujue mi sijui kulima wala kuchunga ng'ombe, najua kuvua samaki na kuwinda kwa mishale ya sumu. ila kumng'oa paw huwezi nakuambia, utamaliza pumzi tu wewe. kitunda huku tunafuga kuku na kula mayai tu
Hahahahahahaaaaaa, uwiiii! Umenifurahisha kweli wewe! Sasa kwani kitunda sijui daslamu kuna nini? Sasa kwa taarifa yako naanza kukuvutia pumzi ili nikung'oe daslamu kwenu huko nije nikufiche huku Migato! Wallah tena wewe utakuwa wangu hakuna cha Paw wala nani ! na hivi ulivyo mweupe basi huo ndiyo ugonjwa wangu siunajua tena wanyantuzu na mwanamke mweupe!
 
Back
Top Bottom