Mkuu si-unaweza kufuga kwa ajili ya kuwala/mboga? au Hawaliwi?mkuu karibu katika tasnia...,ila nikupe angalizo....fuga bukini kwaajili ya mapambo, ni mgumu sana kumfanya awe mdege wa kibiashara....
Mkuu si-unaweza kufuga kwa ajili ya kuwala/mboga? au Hawaliwi?mkuu karibu katika tasnia...,ila nikupe angalizo....fuga bukini kwaajili ya mapambo, ni mgumu sana kumfanya awe mdege wa kibiashara....
Bata koko....!Yaaap nimekuelewa vizuri.....kwa hiyo yake makbwa yanayopiga kelele ndiyo Bata Mzinga.Na hawa tulio nao mtaani ndiyo bata gani... ?
Hawaliwi wana sumu kali kuliko ya TAKUKURU!!Mkuu si-unaweza kufuga kwa ajili ya kuwala/mboga? au Hawaliwi?
Duh! Hatariii...Hawaliwi wana sumu kali kuliko ya TAKUKURU!!
Teh tehHawaliwi wana sumu kali kuliko ya TAKUKURU!!
Muulize mh Malinzi ndio atakupa jibu sahihi nini kilimpata baada ya kumla huyo bata!Duh! Hatariii...
Mkuu si-unaweza kufuga kwa ajili ya kuwala/mboga? au Hawaliwi?
mkuu karibu katika tasnia...,ila nikupe angalizo....fuga bukini kwaajili ya mapambo, ni mgumu sana kumfanya awe mdege wa kibiashara....
Hawaliwi wana sumu kali kuliko ya TAKUKURU!!
mkuu mayai yako ila kama utahitaji nitakuambia take at your own riskMkuu nisaidie, mayai yake yanatotolewa baada ya muda gani na kwanini wanauzwa bei kubwa sana?
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums