Nahitaji ardhi heka 5

Nahitaji ardhi heka 5

Naitaji aridhi heka 5
Iwe dar,au mkoa wa jirani na dar
Iwe imepimwa
Budget yangu ni 10m.

Kwa mawasiliano zaidi nicheki inbox

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Nina ekari tatu zipo Morogoro, km 20 toka Msamvu kuelekea Dododma, km 5 toka barabara kuu ya Dodoma.Kipo karibu na kiwanda cha kusindika nyama. Kila Ekari nauza laki tano.Simu yangu:0713-039875
 
Lipo hekari tano kisarawe halijapimwa ila lina utambulisho mpaka serikali ya kijiji 0714621548
 
Naitaji aridhi heka 5
Iwe dar,au mkoa wa jirani na dar
Iwe imepimwa
Budget yangu ni 10m.

Kwa mawasiliano zaidi nicheki inbox

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Habari zenu Wanajamvi?
Natumai ni wazima wa afya niende moja kwa moja kwenye ujumbe ulionipelekea kufungua thread hii.Kutokana na ongezeko la shughuli za ujasiliamali mfano kilimo na ufugaji ardhi imekua ni nyenzo muhimu katika kuwezesha ufanisi katika shughuli hizo.

  1. Napenda kuwataarifu wadau mbalimbali wanaopenda kumiliki ardhi kuna Mashamba yanapatikana maeneo ya Kiwangwa(Bagamoyo) njia ya kuelekea Msata.
  2. Bei ni Tsh 700,000/= kwa kila Heka na zipo 4Km kutoka barabara kuu ya kuelekea Msata.
  3. Hayo Mashamba yanamilikiwa na Wenyeji yani wakazi wa Msata wana hati za vijiji .
  4. Hayo Mashamba yanastawisha mazao kama vile Nanasi,Mpunga,Tikitimaji,Mahindi,
Kuna msemo unasema Little is more than nothing nawasilisha kwa mawasiliano zaidi call/sms +255 657 528 088 Asanteni sana
 
Back
Top Bottom