lwidia2k
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 620
- 1,300
Habari za asubuhi wana jamvi. Ni Mara nyingine Tena nakuja kwenu nikihitaji msaada wenu na mawazo yenu. Nahitaji AMEC engine kwa ajilii ya kuendeshea karasha la kokoto. Kutokana na uchumi kua tight nahitaji used lkn iwe katika Hali nzuri (inayokubali services).
Engine yenyewe Ni Kama hapo pichani.
Pia, Kama unazifahamu vzr unaweza nishauri ipi Ni Bora zaidi kwa kazi nzito Kama hizo za kusaga mawe kua kokoto.
Engine yenyewe Ni Kama hapo pichani.
Pia, Kama unazifahamu vzr unaweza nishauri ipi Ni Bora zaidi kwa kazi nzito Kama hizo za kusaga mawe kua kokoto.