lwidia2k
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 616
- 1,270
Habari za asubuhi Wana JF. Ni Imani yangu kua mko wazima wa afya katika kusukuma hili gurudumu la maendeleo. Kwa wale wenye hitilafu za kiafya Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi.
Nakuja kwenu kuomba ushauri kwa Mara nyingine tena, Mara ya kwanza nilihitaji compressor machine ya migodini nashukuru niliipata ya Bei nafuu na nzuri kwa kazi ingawa changamoto bado napitia.
Kwa Sasa nahitaji gari ndogo kwa ajili ya kuvutia mashine yangu kwenda nayo site ninakopata kazi. Mpaka Sasa natumia gari ya kukodi aina ya Suzuki carry (kirukuu). Lkn changamoto Ni kubwa hasa kwenye barabara mbovu za vijijini tuna kwama Sana site.
Kutokana na uchumi kua mdogo kwangu nikashauriwa nipate escudo old model milango mitatu ambayo Ni manual na yenye four-wheel (4WD).
Je kwa budgeti ya milioni 3, naweza kupata gari ya aina hyo, isiyokua na changamoto Sana, matatizo madogomadogo nitafanya service mwenyewe.
Na sababu nyingine Ni kuanza kupishana kimaslahi na mwenye gari ninae Kodi kwakwe kwani amekua akinipandishia Bei Mara kwa Mara.
Hatuibebi au kuipakia ndani ya bodi la gari, Hua tunaivuta kwani mashine yenyewe Ina matairi mawili.
Mashine yenyewe Ni Kama ifuatavyo hapo pichani.
Nakuja kwenu kuomba ushauri kwa Mara nyingine tena, Mara ya kwanza nilihitaji compressor machine ya migodini nashukuru niliipata ya Bei nafuu na nzuri kwa kazi ingawa changamoto bado napitia.
Kwa Sasa nahitaji gari ndogo kwa ajili ya kuvutia mashine yangu kwenda nayo site ninakopata kazi. Mpaka Sasa natumia gari ya kukodi aina ya Suzuki carry (kirukuu). Lkn changamoto Ni kubwa hasa kwenye barabara mbovu za vijijini tuna kwama Sana site.
Kutokana na uchumi kua mdogo kwangu nikashauriwa nipate escudo old model milango mitatu ambayo Ni manual na yenye four-wheel (4WD).
Je kwa budgeti ya milioni 3, naweza kupata gari ya aina hyo, isiyokua na changamoto Sana, matatizo madogomadogo nitafanya service mwenyewe.
Na sababu nyingine Ni kuanza kupishana kimaslahi na mwenye gari ninae Kodi kwakwe kwani amekua akinipandishia Bei Mara kwa Mara.
Hatuibebi au kuipakia ndani ya bodi la gari, Hua tunaivuta kwani mashine yenyewe Ina matairi mawili.
Mashine yenyewe Ni Kama ifuatavyo hapo pichani.