Nahitaji 70Milioni nitarudisha 80Milioni

Nahitaji 70Milioni nitarudisha 80Milioni

Kati ya mambo tunayokosea ndo hayo huwezi weka mambo yako ya kibiashara kila mtu aone ungekuwa serious unge PM tukapeana mawasiliano tukakutana ndo nikuambie hizo pesa ni za kufanyia nini si kila mtu anayeweka jambo hapa ni mzaha watu tuko kikazi zaidi wanaoendeleza mzaha watabaki hapo walipo
Kuna wazo la biashara ukiweka hapa kabla wewe hujapata mtaji wa kuifanya mwenye uwezo tayari analifanya na tayari unakuwa umeharibiwa mpango wako
Ok ni pm...ushawahi kuishi nigeria?
 
Mkuu milioni 70 sekta binafsi jambo la kawaida,nitakupa mfano muuza nguo za jumla za kawaida tu pale kkoo kwa siku akiuza salio kidogo ni M3 Kwa mwezi ni sh ngapi sio 90M?
Kwahiyo kwa mahesabu hayo we unadhani hata upatikanaji wa hizo 70m ni simple as that?
 
Ukiwa kwenye ajira binafsi milioni 70 wala si ya kushangaza ndo maana wenye nayo wamesha PM,jamani ukitegemea mshahara wa mwisho wa mwezi tu bila kuwa na kitu cha kukuongezea kipato nje ya kazi hizi figure utaziona kwenye makaratasi tu.
Hata wafanya biashara wanaidhamini pesa yao, Kama Ni rahisi hivyo si aende kwa Mohamed au kwa Bakheresa maana Wao wanajulikana wazi wana fedha wala sio za kuuliza.
 
Mtu mwenyewe kaja kuomba milioni zote hizo halafu kakimbia , hata hajibu kitu
 
hiyo ni pesa yangu ntakayolipwa nikistaafu.......
wewe unaitaja kirahisi hivi doh.....
 
Haaa haa haa. ..watu wametokwa povu hatari, nyie semeni mnamkopesha au la!...mnaanza kuuliza maswali kama kaua kha!
 
Mkuu watu wana pesa ukitakakujua tembelea maeneo fulan maharufu hpa dar utajua kuwa
Mpunga upo au raha
 
Hahaha,jamaa
Habari wana jamvi ninahitaji 70milioni. kwa muda wa mwezi mmoja tu na nitarudisha 80Milioni baada ya huo mwezi mmoja kama unayo na uko interested ni PM.

MREJESHO
Tayari imeshapatikana kuna mwana JF kaokoa jahazi.

Someni hapo juu jamaa anajifariji mwenyewe baada ya zali la mentali kugoma na kuanza kushambuliwa
 
Ok

Sent from my LT25i using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom