Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,861
- 2,100
pole sana
duhVipi havifanani na vile kama kwenye ile movie the Mummy wadudu bugs weusi wakizama ngozini wanazunguka mwili mzima... Wakitaka kutoka hutokea mdomoni dawa yake ni moto
Au watamwambia apunguze mawazo,madokta wengi wa hapa bongo ni pasua kichwa.Magonjwa ya namna hiyo ndo utajua tz akuna madoctor watakwambia ni magonjwa ya akili na wakipima watakwambia una tatizo lolote madoctor wa kitanzania ni mambumbumbu wa kufa MTU nina uzoefu nao sana akili zao zinatosha kutibu malalia tu stupid manki
Nakuelewa Boss//Pole sana mkuu, kwanza nenda hospital kwa vipimo na kama hawatagundua tatizo lolote ,anza kufikiria mazingira unayoishi(sifa ya mkoa kama sumbawanga etc, matendo yako ktk jamii kama unatoka na mke/mume wa mtu, na mahusiano na majirani, bifu na frndz etc, na mwisho rudi kitamaduni zaidi) nadhani hapo utakuwa umenielewa.
Note: kuna magonjwa mengine huponywa kwa tiba mbadala/asili tu
Duh/Au watamwambia apunguze mawazo,madokta wengi wa hapa bongo ni pasua kichwa.
Inawezekana ni nguvu za Giza?Tafuta kanisa la thepool of siloamu church utaombewa utapona
mshana jr au MziziMkavu anajua tatizo linalokusumbuaInawezekana ni nguvu za Giza?
mbona wapo kimya sasa nae anatesekamshana jr au MziziMkavu anajua tatizo linalokusumbua
Ulitoaje sasa?Hayo ni mapepo hata mie ilishawahi nitokea kunawakati nilikua naona kama shati imelowa na imeganda kwa ngozi kumbe wala,au kitu kinapita taratibu kwenye mwili ukipagusa panatulia
Mambo mengine bwana, mwenzio yuko serious anataka asaidiwe lakini unaleta utani, kwani usinge comment ungepungukiwa nini?Huyo mdudu ni hatari sasa inabidi umeze nyoka ili aende aka mfukuze huyo mdudu atoke nje au amle huko huko, ukisha mmeza nyoka acha mdomo wazi ili mdudu aone pa kutokea. Usipo pona nahama jf mimi
Mm niliwaipata tatizo kama hilo LA kusikia vitu vinatembea mm mwilini nikaemba muhimbili ilikuwa shida si mchezo wakaanza kuniuliza bangi unavuta ngapi na kunichalenji una A.K.A jina gani mm sikuwa mpuuzi nikalazimisha vipimo kwa nguvu mana ukiwasikiliza watakuandikia na kukupa madawa jinsi wanavyo hisi wao na kukupotezea muda bureDuh/