Nahisi ugonjwa wa moyo unaniwinda baada ya kuachwa na mwanaume aliyenizalisha

Ni kwamba una hamu tu ya kuutaja Ukristo au? Yes tuna utaratibu wa barua, lakini barua/uchumba sio ndoa. Kama alizuzuka na barua ni yeye binafsi, na sio Ukristo ulimzuzua.
Ni Ukiristo mkuu ndio shida ukishapeleka barua kwa wazazi ikakubalika yule mwanamke unasabiliwa kulala naye na kizazi munakitambua, sasa tafakarini ili muweze kuondoa hizo stress zenu zisababishwazo na utaratibu ulioutaja wa dini yenu.
 
EMbu nitafute in box.

Maisha haya ni marahisi na ni magumu pia, inavyoonekana unaumia sana baada ya kuachwa ni kitu ambacho hakitakiwi ukiruhusu. Tena upo chuo, unatakiwa usimame strong na kusonge mbele. Wewe sio wa kwanza kuachwa.

Huwezi jua Mungu kakuepusha na nini kwa huyo mwanaume. Kune mambo mengi ambayo ni ya kiroho

Kuna siri ipo ndani hapo na wala usilazimishe huyo mwanaume kuwa na wewe.

Jukumu la mwanaume la kulea mtoto liko pale pale ila kukuoa sio lazima.

Njoo dm. Sitaki kukutongoza mimi nimeoa na watoto wawili.
Nataka nikupe ushauri ili uweze kusonga mbele na mapenzi yasikuendeshe
bora asikutafute utaenda kumzidishia stress umpe na mtoto wa 2 halafu na ww umuache
 
Kwa kweli utakuwa ni Ukiristo huo, maana ninavyojua Ukristo upo kinyume na ngono kabla ya ndoa. Siku njema
Ni Ukiristo mkuu ndio shida ukishapeleka barua kwa wazazi ikakubalika yule mwanamke unasabiliwa kulala naye na kizazi munakitambua, sasa tafakarini ili muweze kuondoa hizo stress zenu zisababishwazo na utaratibu ulioutaja wa dini yenu.
 
Ila kumblock mama wa mwanao ni akili?
Hapana, sio akili pia kumblock mama wa mwanao. My point is, as the mother of his child she was supposed to know better and act smarter than him. Mtu akifanya jambo la kipumbavu hutakiwi pia kufanya jambo la kipumbavu, akikublock unamwangalia tu, mwisho wa siku atajiona mjinga kumblock mama wa mwanae. Unapomblock mama wa mwanao unategemea nini? What do you want to achieve? Ukitaka habari za mwanao unazipataje? Mambo ya kublockiana ni ya watu ambao hawana mtoto pamoja, mkishazaa mnatakiwa muache ujinga wa kitoto.
 
Young lady, no matter watu watakuthamini kiasi gani; wewe binafsi usipojithamini haitokusaidia chochote. Kila siku utajiona hautoshei au haustahili vitu fulani. Hujiamini na hujioni kuwa una thamani so maisha yako yote unayatumia kujaribu kufit in kwa watu na jamii; una wito wa kuwaimpress. Ulikuwa na elimu ya cheti na kikazi chako, lakini bado ulikuwa unajiona kama hustahili kuwa na huyo baby daddy wako, so ukaamua uende shule ili tu angalau upande thamani.

Uliona red flags nyingi kwa jamaa ila bado ukawa unawaza nikimuacha wazazi wetu na jamii itanionaje mie Mrs Mapunda. Girl kwa huyo mwanaume, angekuja kukuacha tu hata ndoani.
Afu usituzingue ujue, unaona aibu kuwa single mom nyumbani kwenu wamekulea kwa maadili; kwani wakati mnapanga kabisa kupata mtoto nje ya ndoa hukujua maadili ya nyumbani kwenu? Au maadili ya kwenu yanaruhusu kuzaa kabla ya ndoa as long as mtakujaga kuoana huko mbeleni?

Yaani hapa kujililiza kote ni kisa tu ulishajiwekea ndoto za kuwa Mrs Mapunda, unamtumia mtoto kama excuse ya kumng'ang'ania baba yake. Hata kama mngekuwa hamjazaa, wewe ungemganda tu huyo bwana. Imagine kama angekuacha mkiwa mmmeshaoana, tena ndoa za kikristo ndiyo ungelia vizuri.

Acha upumbavu wa kumuona mtoto wako kama kikwazo cha mambo yako. Kuna wenzako kibao wanatafuta watoto ndoani na hawapati; mshukuru Mungu kwa ajili ya mtoto wako regardless amekuja kwenye mazingira na kwa wakati gani. Mtoto wako akupe nguvu ya kusimama na kupambana. Umeshawa-impress sana wazazi na jamii, this time muimpress mtoto wako tu, fanya kilicho bora kwa ajili yake. Don't fail her

Huyo mwanaume angekufa leo, wewe usingeweza kuendelea na maisha yako na usingle mom wako? Tuliza akili, soma kwa bidii, fanya maisha yako ma mwanao then mwanaume atakuja tu (maana ni as if mwanaume ni oxygen yako, bila me huwezi ishi). Wapo single mom kibao wanajitambua, wameolewa na wametulia kwenye ndoa zao. Hivyo unavyojililiza kisa baby daddy wako, hata mimi ningekuwa mwanaume mwingine ningekimbia. Kubaliana na yote yaliyotokea, fanya maisha yako na tambua uthamani wako. Ukiamua kuwa desperate kisa ni single mom ukajibebea tu lifurushi huko, utajiju mwenyewe. Na usitumie usingle mom as excuse ya kuwa desperate, wewe hata usingekuwa na mtoto; kwa unavyoabudu ndoa, bado ungekuwa desperate tu. Hayo mawazo ya kuwa na familia moja ndiyo yameshashindikana, ukijaga kupata mume olewa kaanzishe familia na mumeo: maana kwa hiyo akili yako hukawii kurudi kwa baby daddy na kubeba mimba ili usichanganye wababa kwa watoto wako; ushindwe

Jisamehe, msamehe baba mtoto wako, jipende na jithamini na hayo mengine yote utazidishiwa. Kuwa na misimamo mtoto wa kike, huyo ni mzazi mwenzako treat him like one. Sasa endelea kujibebisha, baada ya siku mbili anakutia block, ujistress wee hadi ufeli shule, uone kama ndiyo atakurudia.

Young ladies: awe boyfriend awe mchumba, mkikubaliana kuzaa mtoto, ukumbuke tu huyo mtoto mtamzaa mkiwa nje ya ndoa, so sio vibaya ukajiandaa kuwa singo mom (wa nje ya ndoa). Unataka ndoa, tuliza kiherehere kazae ndani ya ndoa; sio kesho na kesho kutwa unaanza kujiliza amekuzalisha as if alikubaka kumbe ni jambo mlilokubaliana.
 
Hapo sawa, wote ni wajinga. So at least mmoja wapo alitakiwa kuwa na akili njema ajishushe kwa ajili ya mtoto.

Hawa shida yao ni kwamba bidada hajakubaliana na hali; hivi mtu mmezaa ila kakuacha anaanzaje kukupangia vya kupost kwenye status yako? Walee mtoto seriously, wasilete mahaba kwenye hakuna. Kama wanatakana basi warudiane
Hapana, sio akili pia kumblock mama wa mwanao. My point is, as the mother of his child she was supposed to know better and act smarter than him. Mtu akifanya jambo la kipumbavu hutakiwi pia kufanya jambo la kipumbavu, akikublock unamwangalia tu, mwisho wa siku atajiona mjinga kumblock mama wa mwanae. Unapomblock mama wa mwanao unategemea nini? What do you want to achieve? Ukitaka habari za mwanao unazipataje? Mambo ya kublockiana ni ya watu ambao hawana mtoto pamoja, mkishazaa mnatakiwa muache ujinga wa kitoto.
 
EMbu nitafute in box.

Maisha haya ni marahisi na ni magumu pia, inavyoonekana unaumia sana baada ya kuachwa ni kitu ambacho hakitakiwi ukiruhusu. Tena upo chuo, unatakiwa usimame strong na kusonge mbele. Wewe sio wa kwanza kuachwa.

Huwezi jua Mungu kakuepusha na nini kwa huyo mwanaume. Kune mambo mengi ambayo ni ya kiroho

Kuna siri ipo ndani hapo na wala usilazimishe huyo mwanaume kuwa na wewe.

Jukumu la mwanaume la kulea mtoto liko pale pale ila kukuoa sio lazima.

Njoo dm. Sitaki kukutongoza mimi nimeoa na watoto wawili.
Nataka nikupe ushauri ili uweze kusonga mbele na mapenzi yasikuendeshe
Mmh wewe, mshauri hapa basi ili na sie tufaidike.
odamae mdogo wangu epuka sana pm hasa katika kipindi ambacho una stress.
 
Asante dada
Mwanafunzi ( mtoa mada) print hii kaa nayo itakua kama alarm ya kukuamsha usingizi uliolala.
Young lady, no matter watu watakuthamini kiasi gani; wewe binafsi usipojithamini haitokusaidia chochote. Kila siku utajiona hautoshei au haustahili vitu fulani. Hujiamini na hujioni kuwa una thamani so maisha yako yote unayatumia kujaribu kufit in kwa watu na jamii; una wito wa kuwaimpress. Ulikuwa na elimu ya cheti na kikazi chako, lakini bado ulikuwa unajiona kama hustahili kuwa na huyo baby daddy wako, so ukaamua uende shule ili tu angalau upande thamani.

Uliona red flags nyingi kwa jamaa ila bado ukawa unawaza nikimuacha wazazi wetu na jamii itanionaje mie Mrs Mapunda. Girl kwa huyo mwanaume, angekuja kukuacha tu hata ndoani.
Afu usituzingue ujue, unaona aibu kuwa single mom nyumbani kwenu wamekulea kwa maadili; kwani wakati mnapanga kabisa kupata mtoto nje ya ndoa hukujua maadili ya nyumbani kwenu? Au maadili ya kwenu yanaruhusu kuzaa kabla ya ndoa as long as mtakujaga kuoana huko mbeleni?

Yaani hapa kujililiza kote ni kisa tu ulishajiwekea ndoto za kuwa Mrs Mapunda, unamtumia mtoto kama excuse ya kumng'ang'ania baba yake. Hata kama mngekuwa hamjazaa, wewe ungemganda tu huyo bwana. Imagine kama angekuacha mkiwa mmmeshaoana, tena ndoa za kikristo ndiyo ungelia vizuri.

Acha upumbavu wa kumuona mtoto wako kama kikwazo cha mambo yako. Kuna wenzako kibao wanatafuta watoto ndoani na hawapati; mshukuru Mungu kwa ajili ya mtoto wako regardless amekuja kwenye mazingira na kwa wakati gani. Mtoto wako akupe nguvu ya kusimama na kupambana. Umeshawa-impress sana wazazi na jamii, this time muimpress mtoto wako tu, fanya kilicho bora kwa ajili yake. Don't fail her

Huyo mwanaume angekufa leo, wewe usingeweza kuendelea na maisha yako na usingle mom wako? Tuliza akili, soma kwa bidii, fanya maisha yako ma mwanao then mwanaume atakuja tu (maana ni as if mwanaume ni oxygen yako, bila me huwezi ishi). Wapo single mom kibao wanajitambua, wameolewa na wametulia kwenye ndoa zao. Hivyo unavyojililiza kisa baby daddy wako, hata mimi ningekuwa mwanaume mwingine ningekimbia. Kubaliana na yote yaliyotokea, fanya maisha yako na tambua uthamani wako. Ukiamua kuwa desperate kisa ni single mom ukajibebea tu lifurushi huko, utajiju mwenyewe. Na usitumie usingle mom as excuse ya kuwa desperate, wewe hata usingekuwa na mtoto; kwa unavyoabudu ndoa, bado ungekuwa desperate tu. Hayo mawazo ya kuwa na familia moja ndiyo yameshashindikana, ukijaga kupata mume olewa kaanzishe familia na mumeo: maana kwa hiyo akili yako hukawii kurudi kwa baby daddy na kubeba mimba ili usichanganye wababa kwa watoto wako; ushindwe

Jisamehe, msamehe baba mtoto wako, jipende na jithamini na hayo mengine yote utazidishiwa. Kuwa na misimamo mtoto wa kike, huyo ni mzazi mwenzako treat him like one. Sasa endelea kujibebisha, baada ya siku mbili anakutia block, ujistress wee hadi ufeli shule, uone kama ndiyo atakurudia.

Young ladies: awe boyfriend awe mchumba, mkikubaliana kuzaa mtoto, ukumbuke tu huyo mtoto mtamzaa mkiwa nje ya ndoa, so sio vibaya ukajiandaa kuwa singo mom (wa nje ya ndoa). Unataka ndoa, tuliza kiherehere kazae ndani ya ndoa; sio kesho na kesho kutwa unaanza kujiliza amekuzalisha as if alikubaka kumbe ni jambo mlilokubaliana.
 
Young lady, no matter watu watakuthamini kiasi gani; wewe binafsi usipojithamini haitokusaidia chochote. Kila siku utajiona hautoshei au haustahili vitu fulani. Hujiamini na hujioni kuwa una thamani so maisha yako yote unayatumia kujaribu kufit in kwa watu na jamii; una wito wa kuwaimpress. Ulikuwa na elimu ya cheti na kikazi chako, lakini bado ulikuwa unajiona kama hustahili kuwa na huyo baby daddy wako, so ukaamua uende shule ili tu angalau upande thamani.

Uliona red flags nyingi kwa jamaa ila bado ukawa unawaza nikimuacha wazazi wetu na jamii itanionaje mie Mrs Mapunda. Girl kwa huyo mwanaume, angekuja kukuacha tu hata ndoani.
Afu usituzingue ujue, unaona aibu kuwa single mom nyumbani kwenu wamekulea kwa maadili; kwani wakati mnapanga kabisa kupata mtoto nje ya ndoa hukujua maadili ya nyumbani kwenu? Au maadili ya kwenu yanaruhusu kuzaa kabla ya ndoa as long as mtakujaga kuoana huko mbeleni?

Yaani hapa kujililiza kote ni kisa tu ulishajiwekea ndoto za kuwa Mrs Mapunda, unamtumia mtoto kama excuse ya kumng'ang'ania baba yake. Hata kama mngekuwa hamjazaa, wewe ungemganda tu huyo bwana. Imagine kama angekuacha mkiwa mmmeshaoana, tena ndoa za kikristo ndiyo ungelia vizuri.

Acha upumbavu wa kumuona mtoto wako kama kikwazo cha mambo yako. Kuna wenzako kibao wanatafuta watoto ndoani na hawapati; mshukuru Mungu kwa ajili ya mtoto wako regardless amekuja kwenye mazingira na kwa wakati gani. Mtoto wako akupe nguvu ya kusimama na kupambana. Umeshawa-impress sana wazazi na jamii, this time muimpress mtoto wako tu, fanya kilicho bora kwa ajili yake. Don't fail her

Huyo mwanaume angekufa leo, wewe usingeweza kuendelea na maisha yako na usingle mom wako? Tuliza akili, soma kwa bidii, fanya maisha yako ma mwanao then mwanaume atakuja tu (maana ni as if mwanaume ni oxygen yako, bila me huwezi ishi). Wapo single mom kibao wanajitambua, wameolewa na wametulia kwenye ndoa zao. Hivyo unavyojililiza kisa baby daddy wako, hata mimi ningekuwa mwanaume mwingine ningekimbia. Kubaliana na yote yaliyotokea, fanya maisha yako na tambua uthamani wako. Ukiamua kuwa desperate kisa ni single mom ukajibebea tu lifurushi huko, utajiju mwenyewe. Na usitumie usingle mom as excuse ya kuwa desperate, wewe hata usingekuwa na mtoto; kwa unavyoabudu ndoa, bado ungekuwa desperate tu. Hayo mawazo ya kuwa na familia moja ndiyo yameshashindikana, ukijaga kupata mume olewa kaanzishe familia na mumeo: maana kwa hiyo akili yako hukawii kurudi kwa baby daddy na kubeba mimba ili usichanganye wababa kwa watoto wako; ushindwe

Jisamehe, msamehe baba mtoto wako, jipende na jithamini na hayo mengine yote utazidishiwa. Kuwa na misimamo mtoto wa kike, huyo ni mzazi mwenzako treat him like one. Sasa endelea kujibebisha, baada ya siku mbili anakutia block, ujistress wee hadi ufeli shule, uone kama ndiyo atakurudia.

Young ladies: awe boyfriend awe mchumba, mkikubaliana kuzaa mtoto, ukumbuke tu huyo mtoto mtamzaa mkiwa nje ya ndoa, so sio vibaya ukajiandaa kuwa singo mom (wa nje ya ndoa). Unataka ndoa, tuliza kiherehere kazae ndani ya ndoa; sio kesho na kesho kutwa unaanza kujiliza amekuzalisha as if alikubaka kumbe ni jambo mlilokubaliana.
Huu ndio ukweli wenyewe, asipokusikia asiseme hajaambiwa, shukran mkuu
 
Mkuu nikupe pole kwa masahibu yaliyokukuta,lakini amini pia kila jambo linamakusudi yake hapa duniani,ndo maana Mwenyezi Mungu ametuasa kuwa tushukuru kwa kila jambo,maana kila jambo liko na makusudi ya Allah, huwezi juwa kakuepusha na masaibu gani hapo mbeleni.

Kilichopo ni kukubali matokeo na kuanza upya,wako Wa Maisha yupo,na siyo huyo aliyekutelekeza kwa sasa.
 
Kama uliota ndugu icho kinanipa stress sana hamna kitu kinauma kama kuzalishwa kingine najisikia aibu sana kwa ndugu na marafiki wanaonizunguka ambao walijua mahusiano yetu mana mahusiano yetu yalikuwa ya mda mrefu sana sio mkubwa sio mtoto waliyajua ilifika mda wamama waliniita mama mapunda yani walikuwa wakipachika ubini wa mwanaume wangu japo sikuwa mke!
Daah kumbe ni hawa akina Mapunda
Pole.
 
Ni Ukiristo mkuu ndio shida ukishapeleka barua kwa wazazi ikakubalika yule mwanamke unasabiliwa kulala naye na kizazi munakitambua, sasa tafakarini ili muweze kuondoa hizo stress zenu zisababishwazo na utaratibu ulioutaja wa dini yenu.

Hakuna ukristu unaosema barua ya posa ikikubaliwa bas unaruhusiwa kusex na aliekutolea posa acha upotoshaji. Kwenye ukristu sex inaruhusiwa kwa wanandoa tu (tena ambao hawajapeana taraka na kurudiana kama ilivyo upande wenu) wala wachumba.
Huyo ni maamuz yake tu ndio aliamua kutoa mwili wake kwa mwenzake kwa mapenzi yake sio kwa mapenzi ya imani ya dini yake
 
Hakuna ukristu unaosema barua ya posa ikikubaliwa bas unaruhusiwa kusex na aliekutolea posa acha upotoshaji. Kwenye ukristu sex inaruhusiwa kwa wanandoa tu (tena ambao hawajapeana taraka na kurudiana kama ilivyo upande wenu) wala wachumba.
Huyo ni maamuz yake tu ndio aliamua kutoa mwili wake kwa mwenzake kwa mapenzi yake sio kwa mapenzi ya imani ya dini yake
Wakiristo watoto huwa wanahudhuria ndoa za mama yao, mama anaolewa watoto wake washakuwa wakubwa ndio utaratibu wenu, yaani mtoto anahudhuria harusi ya mama yake na baba yake., Halafu wakiristo dini yenu hakuna kuachana inabidi tu mke ukae nae ata akikutia maji ya moto au kisu cha shingo, ufe au afe usidanganye wakiristo hawana talaka ata kitbau chenu kimekaa kimya kuhusu talaka
 
Wakiristo watoto huwa wanahudhuria ndoa za mama yao, mama anaolewa watoto wake washakuwa wakubwa ndio utaratibu wenu, yaani mtoto anahudhuria harusi ya mama yake na baba yake., Halafu wakiristo dini yenu hakuna kuachana inabidi tu mke ukae nae ata akikutia maji ya moto au kisu cha shingo, ufe au afe usidanganye wakiristo hawana talaka ata kitbau chenu kimekaa kimya kuhusu talaka
Tatizo unauzungumza mambo ya kusikia sio ambayo una huwakika nayo.

Moja ya masharti ya ndoa ya kikristu ni haitambua kuishi na kuzaa wote kama ndoa bila kuithibitisha kanisani, hao unao ona wanafunga ndoa wakiwa na watoto wakubwa kwa kifupi jumuiya ya kikristu ilikuwa inawahesabu kama wazinzi sio wanandoa kabla ya kufunga ndoa.

Pili ukristu unatambua taraka (soma maandiko usikalilishe na wahubiri wa waongo na mapokeo ya kibinadam) sema ni kanuni na taratibu za taraka za kikristu ndio ngumu.

Kwa mkristu kutoa taraka inahesabika kama kumruhusu mwenza wako kufanya uasherati/uzinzi na hapo hauto ruhusiwa kuoana nae tena ata kama akiolewa akaachika kama ninyi mfanyavyo.

Nahisi umeelewa ama unataka nikuwekee na vifungu kwa usibitisho juu ya taraka.
 
Wa
Nimekuwa na mawazo yasiyokoma tangu mwaka Jana 2020 furaha imepotea nimekuwa ni mtu wa kuwaza kukosa amani na huzuni moyoni mwangu. Ninasoma chuo fulani lakini maisha yangu ni stress na kutofurahia maisha.

Chanzo kuna mwanaume alinitolea barua alihaidi kunioa nitakapomaliza chuo lakini nilivyoanza tu chuo akaanza vituko akaniacha. Nimeathiriwa kisaiklojia sana na kuona kila kitu kigumu na siwezi tena nipo chuo mwaka wa pili naenda wa tatu lakini nimekata tamaa ya kusoma.

Huyo mwanaume kanizalisha na mimi malengo yangu niliyojipangiaga ni kuwa na familia moja lakini mambo yameenda tofauti.

Roho inaniuma sana nasoma kwa kujilazimisha tu sasa hivi sina moyo wa kusoma kabisa.

Wanaume wengine bwana wanamatatizo. Sasa kama ulikuwa una mke na mtoto kwanini umzalishe mtoto wa watu kwa madai utamuoa.

Ndio baadae utaona wazee hawa wanalalamika fulani ni mwanangu Ila ni hanijali, anamjali mama yake tu.

Mtoto kakulia kwa mama na hukuwa na muda nao, atakujali vipi.
Kuna mmoja mmoja kajitokeza huku anadai Kagere ni mwanae na yupo tayari kupima DNA 😁😁
 
Back
Top Bottom