pole sana dada lakini tambua kila jambo hutokea kwa sababu,huyo hakuwa wako tulia soma fanya ibada na endelea kumheshimu Mungu hatimaye atapatikana wa kwako....hayo ni madhara ya anguko la mwanadamu pale Eden kaza moyo songa mbeleHapana halipi ada ndugu, ghafla tu akanambia naona umri unaenda tuachane Mimi siwezi kukufurahisha katika maisha yako kisa tu nilikuwa nikimtumia hajibu, nikimpigia tunaongea anakata simu ghafla tu bila kuniambia chochote au siku akiamua nikimpigia simu tukiongea kidogo tu ataniambia subiri baada ya dk 5 kuna kazi nafanya akisema hivyo ndo basi imetoka labda umtafute wewe tena, wasap unamuona online ukitumia text hajibu!! Badae alipoanzisha ugomvi wa kuachana akanambia Mimi nina mtoto mwingine na mwanamke yani hadi niliumwa.