monta
JF-Expert Member
- May 6, 2014
- 1,125
- 1,459
Wakuu heshima kwenu. Mimi kama kijana Mtanzania tena rijali kabisa naona naangamia kabisa kwa hili linaloendelea kunitokea katika maisha yangu. Naombeni msaada wenu wana JF wenzangu nahisi kuna mtu nyuma yangu ashafanya yake
Iko hivi, kwa kipindi cha miaka miwili mitatu hapo nyuma mpaka sana nilifanikiwa kudate na wasichana si chini ya 20 yani serious relationship sio onenight stand.
Iko hivi, kwa kipindi cha miaka miwili mitatu hapo nyuma mpaka sana nilifanikiwa kudate na wasichana si chini ya 20 yani serious relationship sio onenight stand.