Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,012
- 54,174
Mtukaneni yeye naona lengo lake mtujumlishe wote na upumbavu wakeTunaachaje Sasa hapa Ni kombora kwa wote tu
Mtukaneni yeye naona lengo lake mtujumlishe wote na upumbavu wakeTunaachaje Sasa hapa Ni kombora kwa wote tu
Kwahiyo unajua unachokifanya sio sahihi ila unataka ujaziwe comments za kuonewa huruma??Najua mtanitolea povu hapa, nyie tukaneni mpaka mchoke, nahitaji ushauri wenu ndo utakao weza nisaidia na kuninasua hapa nilipo matusi, kejeli na maneno ya shombo hayanisaidii kitu coz hakuna anaenijua humu, SNA SNA zitaushushia hadhi yko ww unae nitukana.
Plz nahitaji maneno ya busara ya kuniponya na kunisaidia. Ntarudi kusoma maoni yenu Ila sits mjibu MTU yoyote.
Hahaa!! Sheikh!! Najiandaa kukabidhiwa msikiti karibu na maskani hapa!!Duh makaveli10 huu ushauri umetoa wewe au mchungaji wako wa kanisani?
Eti mumeo yupo humu na mchepuko yuko humu uko mirembe wodi namba ngapi we kahabaHuna haja ya kuniamin ww timiza wajibu wako, kama huna ushauri tuliza kitenes soma kimya kimya pita na zako sihitaji malumbano nahitaji ushauri,.
Mama tumekusikiaNaomba wanaume mtakao comment hii mada msiwajumlishe wanawake wote tafadhali
Mumeo Akukuni vizuri... hiyo ndio shida.. ungekuwa unatiwa vzr hamu zote zingekuishaHeri ya pasaka wakuu.
Nimerudi tena ndugu yenu, jaman najihisi Nina pepo LA ngono maana ninayopotia Mungu mwenyewe anajua.
Nilikuja hapo awali kuomba ushauri kuhusu yule jamaa wa Muheza niliekua nampenda, nashukuru nilisoma comment zenu nikawaelewa nikaachana nae, huku bado nampenda lakin lakin nimempotezea kwa hilo namshukuru Mungu.
Jaman kinachonitesa mm, nimekua MTU wa kupenda penda hovyo. Nimeacha na yule jamaa wa muheza nimepata jamaa mwingine ambae ni best angu alikua akinisumbua nikajikuta namkubalia, lakin tunaishi mbali na hatujawah onana zaidi ya kutumiana PC tu, nimejikuta nimempenda tena, tena wala hana kipato kikubwa cha kumzidi mume wangu mm ndo huwa namtotoa na vivocha.
Jaman naumia hii hali siipendi, sometimes nawaza nakosa kitu gani kwa mume wangu na mume wangu ananijali na kunipenda SNA.
Nimewaza nikagundua babaangu mzazi anatabia ya umalaya, yaan sket haimpiti mbele mabint wa kaz wakija home anavuluga vibaya mno. Inawezekana ikawa ndo chanzo cha mm kuwa HV roho ya umalaya inanifuatilia.
Pia naomba mtambue, Mm huko nyuma niliokoka na mume wangu na tukawa tumesimama vzr SNA.
Tokea niruhusu hali hii ya kutaman nje, nimekua tofauti kabisaaa sina tena hamu na mume wangu, najikuta muda wote nakuwa na nyege yaan nikumuona mwanaume mzuri nasema huyu jamaa anaweza akawa anajua kunisugua vzr kuzidi Mr wangu,
Nimekua MTU wa hivyo yaan kutaman taman dudu za nje, yaan nyege zinanisumbua hata sielewi, kinachonitisha zaid mm na Mr wangu ni mlokole wala hana mambo ya ajab ajab yupo bize na mambo yke cjawah muhis wala mkuta namchepuko yaan anampenda Mungu SNA.
Lakin mm mke wake, nimenaswa na shetan na cjui najiondoaje kwenye mtego huu, Ila cjawah kutoka nje ya ndoa lakin kwenye cm Nina mchepuko ambao tunatiana nyege SNA na ananiambia siku akinipata atanikuna mpaka nimsahau Mr wangu.
Ushauri jaman, nataman niondokane na hali hii sometimes nawaza mpaka nalia kwann namkosea Mungu na Mr wangu natubu lakin baadae mambo yako palepale.
Cjui cku Mr, akibamba chat zetu ntaweka sapi sura yangu, eeh Mungu nisaidie niondokane na hali hii niludishe upendo kwa Mr wangu.
Mr, najua utausoma huu ujumbe wangu humu, nk mchepuko wangu pia utausoma maana wote mpo humu. Nakupenda Mr wangu lakin lakin naona kama hunitoshelez hunikun vzr, nataman nionje nje nione kupoje may be ntatulia tatizo mwili unanisumbua jaman
Nishaurin nifsnyaje nitulie kwenye ndoa yangu, na nisimame vzr kiroho kama Mwanzo.
Asante kwa kunielewa mpendwaMama tumekusikia
Tulia acha shobo, yaan wanaocomment maneno ya shombo humu wengi niwanawake, ww inshu haikuhusu unawashwa washwa nn au naww unanyege tusaidiane kuomba ushauri.Anika kama unacho cha kuanika mpuuzi mmoja tu wewe, na hii inaonyesha kuwa nilichosema ni cha kweli. Sibishani na wanaowashwa
In the first place nimemuamini ngoja nioneKwa aina ya mabandiko yake sina shaka ni mwanaume huyo mtoa mada
Wote hata mimi piaMpuuzi kanitibua kishenzi
Respect!In the first place nimemuamini ngoja nione
Ni ngumu bhanaTunaachaje Sasa hapa Ni kombora kwa wote tu
Heri ya pasaka wakuu.
Nimerudi tena ndugu yenu, jaman najihisi Nina pepo LA ngono maana ninayopotia Mungu mwenyewe anajua.
Nilikuja hapo awali kuomba ushauri kuhusu yule jamaa wa Muheza niliekua nampenda, nashukuru nilisoma comment zenu nikawaelewa nikaachana nae, huku bado nampenda lakin lakin nimempotezea kwa hilo namshukuru Mungu.
Jaman kinachonitesa mm, nimekua MTU wa kupenda penda hovyo. Nimeacha na yule jamaa wa muheza nimepata jamaa mwingine ambae ni best angu alikua akinisumbua nikajikuta namkubalia, lakin tunaishi mbali na hatujawah onana zaidi ya kutumiana PC tu, nimejikuta nimempenda tena, tena wala hana kipato kikubwa cha kumzidi mume wangu mm ndo huwa namtotoa na vivocha.
Jaman naumia hii hali siipendi, sometimes nawaza nakosa kitu gani kwa mume wangu na mume wangu ananijali na kunipenda SNA.
Nimewaza nikagundua babaangu mzazi anatabia ya umalaya, yaan sket haimpiti mbele mabint wa kaz wakija home anavuluga vibaya mno. Inawezekana ikawa ndo chanzo cha mm kuwa HV roho ya umalaya inanifuatilia.
Pia naomba mtambue, Mm huko nyuma niliokoka na mume wangu na tukawa tumesimama vzr SNA.
Tokea niruhusu hali hii ya kutaman nje, nimekua tofauti kabisaaa sina tena hamu na mume wangu, najikuta muda wote nakuwa na nyege yaan nikumuona mwanaume mzuri nasema huyu jamaa anaweza akawa anajua kunisugua vzr kuzidi Mr wangu,
Nimekua MTU wa hivyo yaan kutaman taman dudu za nje, yaan nyege zinanisumbua hata sielewi, kinachonitisha zaid mm na Mr wangu ni mlokole wala hana mambo ya ajab ajab yupo bize na mambo yke cjawah muhis wala mkuta namchepuko yaan anampenda Mungu SNA.
Lakin mm mke wake, nimenaswa na shetan na cjui najiondoaje kwenye mtego huu, Ila cjawah kutoka nje ya ndoa lakin kwenye cm Nina mchepuko ambao tunatiana nyege SNA na ananiambia siku akinipata atanikuna mpaka nimsahau Mr wangu.
Ushauri jaman, nataman niondokane na hali hii sometimes nawaza mpaka nalia kwann namkosea Mungu na Mr wangu natubu lakin baadae mambo yako palepale.
Cjui cku Mr, akibamba chat zetu ntaweka sapi sura yangu, eeh Mungu nisaidie niondokane na hali hii niludishe upendo kwa Mr wangu.
Mr, najua utausoma huu ujumbe wangu humu, nk mchepuko wangu pia utausoma maana wote mpo humu. Nakupenda Mr wangu lakin lakin naona kama hunitoshelez hunikun vzr, nataman nionje nje nione kupoje may be ntatulia tatizo mwili unanisumbua jaman
Nishaurin nifsnyaje nitulie kwenye ndoa yangu, na nisimame vzr kiroho kama Mwanzo.
We nawe naona unaham sasa kama Mr, yupo humu anaijua hii I'd yangu?Yaani hapa ulipo andika hivi ni uwongo, mumeo awe hapa uandike upuuzi huu.
Taratibu Dada taratibu we hua mpole tunajuaMpuuzi kanitibua kishenzi
Unapo andika wanawake kwa hiyo wew umejitoa sio jinsia yetu hivi kwa nini mashoga huwa mnapenda kuja na mada za ajabu ajabu si mtafute soko kivingine kingine mimi siogopi kutishwa na mpumbavu kama wew fanya unalo ona sahihi nakusubiri.Wanawake mbona mnanyege mshindo hivo
We kahaba naona ndo imejiunga Leo humu, umeamia huku kupata madanga huku mama wanaume wanajielewa kauzie hukooo usiwaambukize kakazangu homa ya UniEti mumeo yupo humu na mchepuko yuko humu uko mirembe wodi namba ngapi we kahaba