Nahisi nina pepo la ngono. Mi ni mwanamke...

Najua mtanitolea povu hapa, nyie tukaneni mpaka mchoke, nahitaji ushauri wenu ndo utakao weza nisaidia na kuninasua hapa nilipo matusi, kejeli na maneno ya shombo hayanisaidii kitu coz hakuna anaenijua humu, SNA SNA zitaushushia hadhi yko ww unae nitukana.

Plz nahitaji maneno ya busara ya kuniponya na kunisaidia. Ntarudi kusoma maoni yenu Ila sits mjibu MTU yoyote.
Kwahiyo unajua unachokifanya sio sahihi ila unataka ujaziwe comments za kuonewa huruma??
Attention seeking byatch....
 
Heri ya pasaka wakuu.
Nimerudi tena ndugu yenu, jaman najihisi Nina pepo LA ngono maana ninayopotia Mungu mwenyewe anajua.

Nilikuja hapo awali kuomba ushauri kuhusu yule jamaa wa Muheza niliekua nampenda, nashukuru nilisoma comment zenu nikawaelewa nikaachana nae, huku bado nampenda lakin lakin nimempotezea kwa hilo namshukuru Mungu.

Jaman kinachonitesa mm, nimekua MTU wa kupenda penda hovyo. Nimeacha na yule jamaa wa muheza nimepata jamaa mwingine ambae ni best angu alikua akinisumbua nikajikuta namkubalia, lakin tunaishi mbali na hatujawah onana zaidi ya kutumiana PC tu, nimejikuta nimempenda tena, tena wala hana kipato kikubwa cha kumzidi mume wangu mm ndo huwa namtotoa na vivocha.

Jaman naumia hii hali siipendi, sometimes nawaza nakosa kitu gani kwa mume wangu na mume wangu ananijali na kunipenda SNA.

Nimewaza nikagundua babaangu mzazi anatabia ya umalaya, yaan sket haimpiti mbele mabint wa kaz wakija home anavuluga vibaya mno. Inawezekana ikawa ndo chanzo cha mm kuwa HV roho ya umalaya inanifuatilia.

Pia naomba mtambue, Mm huko nyuma niliokoka na mume wangu na tukawa tumesimama vzr SNA.
Tokea niruhusu hali hii ya kutaman nje, nimekua tofauti kabisaaa sina tena hamu na mume wangu, najikuta muda wote nakuwa na nyege yaan nikumuona mwanaume mzuri nasema huyu jamaa anaweza akawa anajua kunisugua vzr kuzidi Mr wangu,

Nimekua MTU wa hivyo yaan kutaman taman dudu za nje, yaan nyege zinanisumbua hata sielewi, kinachonitisha zaid mm na Mr wangu ni mlokole wala hana mambo ya ajab ajab yupo bize na mambo yke cjawah muhis wala mkuta namchepuko yaan anampenda Mungu SNA.

Lakin mm mke wake, nimenaswa na shetan na cjui najiondoaje kwenye mtego huu, Ila cjawah kutoka nje ya ndoa lakin kwenye cm Nina mchepuko ambao tunatiana nyege SNA na ananiambia siku akinipata atanikuna mpaka nimsahau Mr wangu.

Ushauri jaman, nataman niondokane na hali hii sometimes nawaza mpaka nalia kwann namkosea Mungu na Mr wangu natubu lakin baadae mambo yako palepale.
Cjui cku Mr, akibamba chat zetu ntaweka sapi sura yangu, eeh Mungu nisaidie niondokane na hali hii niludishe upendo kwa Mr wangu.

Mr, najua utausoma huu ujumbe wangu humu, nk mchepuko wangu pia utausoma maana wote mpo humu. Nakupenda Mr wangu lakin lakin naona kama hunitoshelez hunikun vzr, nataman nionje nje nione kupoje may be ntatulia tatizo mwili unanisumbua jaman

Nishaurin nifsnyaje nitulie kwenye ndoa yangu, na nisimame vzr kiroho kama Mwanzo.
Mumeo Akukuni vizuri... hiyo ndio shida.. ungekuwa unatiwa vzr hamu zote zingekuisha
 
Anika kama unacho cha kuanika mpuuzi mmoja tu wewe, na hii inaonyesha kuwa nilichosema ni cha kweli. Sibishani na wanaowashwa
Tulia acha shobo, yaan wanaocomment maneno ya shombo humu wengi niwanawake, ww inshu haikuhusu unawashwa washwa nn au naww unanyege tusaidiane kuomba ushauri.
 
Tuanze na hili, unatamani michepuko,una michepuko mingi na hiyo tabia ya kutamani nje umeanza una zaidi ya mwaka lakini hujawahi kugawa PAPUCHI NJE?
HILI HALIWEZEKANI.
 
Acha umalaya
Heri ya pasaka wakuu.
Nimerudi tena ndugu yenu, jaman najihisi Nina pepo LA ngono maana ninayopotia Mungu mwenyewe anajua.

Nilikuja hapo awali kuomba ushauri kuhusu yule jamaa wa Muheza niliekua nampenda, nashukuru nilisoma comment zenu nikawaelewa nikaachana nae, huku bado nampenda lakin lakin nimempotezea kwa hilo namshukuru Mungu.

Jaman kinachonitesa mm, nimekua MTU wa kupenda penda hovyo. Nimeacha na yule jamaa wa muheza nimepata jamaa mwingine ambae ni best angu alikua akinisumbua nikajikuta namkubalia, lakin tunaishi mbali na hatujawah onana zaidi ya kutumiana PC tu, nimejikuta nimempenda tena, tena wala hana kipato kikubwa cha kumzidi mume wangu mm ndo huwa namtotoa na vivocha.

Jaman naumia hii hali siipendi, sometimes nawaza nakosa kitu gani kwa mume wangu na mume wangu ananijali na kunipenda SNA.

Nimewaza nikagundua babaangu mzazi anatabia ya umalaya, yaan sket haimpiti mbele mabint wa kaz wakija home anavuluga vibaya mno. Inawezekana ikawa ndo chanzo cha mm kuwa HV roho ya umalaya inanifuatilia.

Pia naomba mtambue, Mm huko nyuma niliokoka na mume wangu na tukawa tumesimama vzr SNA.
Tokea niruhusu hali hii ya kutaman nje, nimekua tofauti kabisaaa sina tena hamu na mume wangu, najikuta muda wote nakuwa na nyege yaan nikumuona mwanaume mzuri nasema huyu jamaa anaweza akawa anajua kunisugua vzr kuzidi Mr wangu,

Nimekua MTU wa hivyo yaan kutaman taman dudu za nje, yaan nyege zinanisumbua hata sielewi, kinachonitisha zaid mm na Mr wangu ni mlokole wala hana mambo ya ajab ajab yupo bize na mambo yke cjawah muhis wala mkuta namchepuko yaan anampenda Mungu SNA.

Lakin mm mke wake, nimenaswa na shetan na cjui najiondoaje kwenye mtego huu, Ila cjawah kutoka nje ya ndoa lakin kwenye cm Nina mchepuko ambao tunatiana nyege SNA na ananiambia siku akinipata atanikuna mpaka nimsahau Mr wangu.

Ushauri jaman, nataman niondokane na hali hii sometimes nawaza mpaka nalia kwann namkosea Mungu na Mr wangu natubu lakin baadae mambo yako palepale.
Cjui cku Mr, akibamba chat zetu ntaweka sapi sura yangu, eeh Mungu nisaidie niondokane na hali hii niludishe upendo kwa Mr wangu.

Mr, najua utausoma huu ujumbe wangu humu, nk mchepuko wangu pia utausoma maana wote mpo humu. Nakupenda Mr wangu lakin lakin naona kama hunitoshelez hunikun vzr, nataman nionje nje nione kupoje may be ntatulia tatizo mwili unanisumbua jaman

Nishaurin nifsnyaje nitulie kwenye ndoa yangu, na nisimame vzr kiroho kama Mwanzo.
 
Yaani hapa ulipo andika hivi ni uwongo, mumeo awe hapa uandike upuuzi huu.
We nawe naona unaham sasa kama Mr, yupo humu anaijua hii I'd yangu?
Wanawake mbona mnanyege mshindo hivo kunishinda hata mm mtoa post, huna comment Mama pita pemben na nyie ndo wadangaji wakubwa humu. Ukirudi tena utachokitaka utakipata
 
Wanawake mbona mnanyege mshindo hivo
Unapo andika wanawake kwa hiyo wew umejitoa sio jinsia yetu hivi kwa nini mashoga huwa mnapenda kuja na mada za ajabu ajabu si mtafute soko kivingine kingine mimi siogopi kutishwa na mpumbavu kama wew fanya unalo ona sahihi nakusubiri.
 
Eti mumeo yupo humu na mchepuko yuko humu uko mirembe wodi namba ngapi we kahaba
We kahaba naona ndo imejiunga Leo humu, umeamia huku kupata madanga huku mama wanaume wanajielewa kauzie hukooo usiwaambukize kakazangu homa ya Uni
 
Back
Top Bottom