Nahisi nina gundu la mapenzi kabisa

Nahisi nina gundu la mapenzi kabisa

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,788
Reaction score
5,027
Yani sasa hivi nina miezi 7 sina mchumba, kila ninayemtongoza lazima asumbue, na huwa sipendi kusumbuliwa au kumbembeleza sana. Naishi maisha ya kununua tu za barabarani.

Naombeni "Connexion" za waganga naona kabisa kwa hatua ambayo nimefikia nahisi nitakuwa nimetupiwa jini mimi kabisa, siyo bure!
 
Yani sasa hivi nina miezi 7 sina mchumba kila ninaye mtongoza lazima asumbuwe
Na sipendagi kusumbuliwa au kumbembeleza sana
Naishi maisha ya kununua tu za barabarani

Naombeni connexion za waganga naona kabisa kwa hatua ambayo nimefikia nahisi nitakuwa nimetupiwa jini mimi kabisa
Sio bure
Hata mapenzi yana maarifa yake mr kwisha ,jitathmini kwa hayo unayosema “sipendagi kisumbuliwa au kubembeleza sana”

Kuna vitu unahitaji kujiongeza
 
Yani sasa hivi nina miezi 7 sina mchumba, kila ninayemtongoza lazima asumbue, na huwa sipendi kusumbuliwa au kumbembeleza sana. Naishi maisha ya kununua tu za barabarani.

Naombeni "Connexion" za waganga naona kabisa kwa hatua ambayo nimefikia nahisi nitakuwa nimetupiwa jini mimi kabisa, siyo bure!
Kwanza tafuta pesa mkuu,badili muonekano na mienendo huenda tabia na general appearance inakuharibia
 
Kinywa kinaumba.....the way unavyoamini una mikosi....ndivyo unavyokua na mikosi
 
Pumzika kidogo. Give yourself some space. Hata akili, mwili vitakuwa nurtured. Mahusiano yana mikiki sana. Use that time kugrow kwenye mambo mengine. Kwani ni lazima kuruka from one relation to another kama daladala??...ni ushaur tu lakini
 
Mbona unaumiza akili bure, hao hao unaoita wa barabarani kuna wenzako wanatongoza mchana na wanazungushwa hata mwezi mzima, wengine wanatamba nao mchana wameshikwa akili haswa na wanahonga haswa na wengine wanajiona wamepata wife material kabisa, hawajui Kama usiku wapo barabarani wanaliwa kimasikhara. Dunia duara Kiongozi.

Relax Kiongozi madem ni hawahawa
 
Huna tofaut na mimi mkuu...nipo kweny hatua za mwsho ...nitaenda kwa mtaalamu..nahc kuna mwanamke kanirushia pepo la kukataliwa maana hata kazi zile za kawaida zinanitolea nje...kweny appearanc sina shaka kweny hilo due pamba nabadili daily na wala sina ile sura pasono..hili wala sihitaj ushauri..nahitaj tu mganga konki...period
 
Huna tofaut na mimi mkuu...nipo kweny hatua za mwsho ...nitaenda kwa mtaalamu..nahc kuna mwanamke kanirushia pepo la kukataliwa maana hata kazi zile za kawaida zinanitolea nje...kweny appearanc sina shaka kweny hilo due pamba nabadili daily na wala sina ile sura pasono..hili wala sihitaj ushauri..nahitaj tu mganga konki...period
Usiwaze kwenda kwa sangoma, amini wakati sahihi ukifika basi utampata mtu sahihi. Endelea kutafuta dough inanogesha upendo.
 
Je una gundu pia na sabuni au mafuta?
Ukishindwa kutumia randa, hata mkono bao unanyoosha mstari pia. Hiyo ni kwa mafundi..🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️🏃🏾‍♀️
 
Usiwaze kwenda kwa sangoma, amini wakati sahihi ukifika basi utampata mtu sahihi. Endelea kutafuta dough inanogesha upendo.
Aah kwa kwel hapa lazma sangoma ahusikee....kuna mshenz huko aliko atakuwa anafurahia kuona mpngo wake umefaulu...imagn unamsalimia dada tu hata huna baya nae ila anatokea tu kusonya as if umemtukana...nahc labda nainekana ka kinyesi kwao...hili siwez endelea kulivumilia..kama ni hela hilo haliwez kuwa tatizo cz zipo za kubadili mboga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom